Huu ushenzi utamalizwa lini?

Huu ushenzi utamalizwa lini?

Huyo mzee ashukuru tu hajakutana na watu wenye akili kama zangu ,kwanza sijui mimi ndio ningelala jela kabla ya yeye kumaliza kutibiwa ngeo zake .
Aisee
Ila hawa wazazi wa Huyu mtoto walikosea walipomua approach kumuuliza...Ushahidi wa mtoto hua haunaga shaka..wangeita tu mwera kimyakimya akakalie na yeye madushe ya manyapara huko jela

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu wanna roho ngumu.
Mke unae, unaenda kumfanyia Mtoto wa watu mambo Kama hayo loh.

Ujana haubagui.
 
Kifungo cha maisha
Kinamhusu huyu

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Back
Top Bottom