Huu unafiki wa Mama Mkwe

Huu unafiki wa Mama Mkwe

selina mrembo

Member
Joined
May 18, 2020
Posts
54
Reaction score
68
Huyu mama mkwe kama mnafiki naona kama saizi ananipenda sana baada ya kuachana na mtoto wake.

Nakumbuka uko nyuma niliwahi kaa kwake na mtoto ake alimwambia mtoto wake nirudi kwetu kwani sio vizuri kuendelea kukaa pale kwasababu alitoa barua tu.

Ila nikiwa mbali alikuwa ananitafuta kunijulia hali nikienda kwake ananisalimia kwa kuniheshimu tu, ila jamani mi namwona kama mnafiki mnafiki ajatukalisha ata na mwanae kusolve ugomvi sana sana alimpigia tu simu kumuuliza na ugomvi ukazidi kupamba moto tu.
 
Tuliza jazba mkuu na ujieleze vyema ili usaidike.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kama ameleta barua na umeenda kwao ina maana jamaa akikuoa anakupeleka kwao?
Mbona tayari mtihani hata kabla hajakuoa
Huyu mama mkwe kama mnafiki naona kama saizi ananipenda sana baada ya kuachana na mtoto wake.

Nakumbuka uko nyuma niliwahi kaa kwake na mtoto ake alimwambia mtoto wake nirudi kwetu kwani sio vizuri kuendelea kukaa pale kwasababu alitoa barua tu.

Ila nikiwa mbali alikuwa ananitafuta kunijulia hali nikienda kwake ananisalimia kwa kuniheshimu tu, ila jamani mi namwona kama mnafiki mnafiki ajatukalisha ata na mwanae kusolve ugomvi sana sana alimpigia tu simu kumuuliza na ugomvi ukazidi kupamba moto tu.
 
Huyu mama mkwe kama mnafiki naona kama saizi ananipenda sana baada ya kuachana na mtoto wake.

Nakumbuka uko nyuma niliwahi kaa kwake na mtoto ake alimwambia mtoto wake nirudi kwetu kwani sio vizuri kuendelea kukaa pale kwasababu alitoa barua tu.

Ila nikiwa mbali alikuwa ananitafuta kunijulia hali nikienda kwake ananisalimia kwa kuniheshimu tu, ila jamani mi namwona kama mnafiki mnafiki ajatukalisha ata na mwanae kusolve ugomvi sana sana alimpigia tu simu kumuuliza na ugomvi ukazidi kupamba moto tu.
Mi naona nikupe like tu inatosha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuandika ueleweke tu ni kazi..Kumuelewa huyo mama mkwe wako ungeweza kweli?
 
Huyu mama mkwe kama mnafiki naona kama saizi ananipenda sana baada ya kuachana na mtoto wake.

Nakumbuka uko nyuma niliwahi kaa kwake na mtoto ake alimwambia mtoto wake nirudi kwetu kwani sio vizuri kuendelea kukaa pale kwasababu alitoa barua tu.

Ila nikiwa mbali alikuwa ananitafuta kunijulia hali nikienda kwake ananisalimia kwa kuniheshimu tu, ila jamani mi namwona kama mnafiki mnafiki ajatukalisha ata na mwanae kusolve ugomvi sana sana alimpigia tu simu kumuuliza na ugomvi ukazidi kupamba moto tu.

Panga chumba kaa na mke wako Acha Hadithi hazina Kichwa wala makalio
 
Back
Top Bottom