Huu sasa ni ushamba wa kisiasa

Huu sasa ni ushamba wa kisiasa

Tajiri la Bitcoin

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2017
Posts
1,148
Reaction score
711
Wanabodi,
Wasalaam,
Huko Mkoani Shinyanga mwenyekiti wa Wilaya wa Chama cha mapinduzi (CCM )wilaya ya Shinyanga Abouh Gulamu akiwa na timu yake amewafuata baadhi ya wenyeviti wa mitaa wa CHADEMA na kuwataka wahamie CCM kwa lazima na wasipofanya hivyo yatawakuta yaliyomkuta mbunge wa Arumeru Mashariki Mh. Joshua Nassar.

Wenyeviti waliofatwa ni pamoja Mh. Kerenge Nyakaganda ambaye ni mwenyekiti wa mtaa wa Banduka na Mh. Ayoub Daniel Ayoub mwenyekiti wa mtaa wa Mapinduzi wote wanatoka kata ya Ndala. Pia wajumbe wa serikali za mitaa ambao ni Robert Chacha, Haji Kija, Deo Masanja pamoja na Perepetua James. Viongozi hawa wamepewa ahadi nyingi na kama hawataondoka kwa hiari kuna vitisho pia. Hata hivyo viongozi hao wamegoma kusaliti maamuzi ya wananchi waliowachagua na kwamba wataendelea kuwatumikia. Wamesema dhambi ya usaliti kwa wananchi ina hukumu sawa na dhambi ya Yuda Iskarioti hivyo watabaki kuwatumikia wananchi wao wakiwa CHADEMA.

CCM MMEKATALIWA NA UMMA ACHENI VURUGU MWONDOKE KWA AMANI 2020.
 
Wanabodi,
Wasalaam,
Huko Mkoani Shinyanga mwenyekiti wa Wilaya wa Chama cha mapinduzi (CCM )wilaya ya Shinyanga Abouh Gulamu akiwa na timu yake amewafuata baadhi ya wenyeviti wa mitaa wa CHADEMA na kuwataka wahamie CCM kwa lazima na wasipofanya hivyo yatawakuta yaliyomkuta mbunge wa Arumeru Mashariki Mh. Joshua Nassar.

Wenyeviti waliofatwa ni pamoja Mh. Kerenge Nyakaganda ambaye ni mwenyekiti wa mtaa wa Banduka na Mh. Ayoub Daniel Ayoub mwenyekiti wa mtaa wa Mapinduzi wote wanatoka kata ya Ndala. Pia wajumbe wa serikali za mitaa ambao ni Robert Chacha, Haji Kija, Deo Masanja pamoja na Perepetua James. Viongozi hawa wamepewa ahadi nyingi na kama hawataondoka kwa hiari kuna vitisho pia. Hata hivyo viongozi hao wamegoma kusaliti maamuzi ya wananchi waliowachagua na kwamba wataendelea kuwatumikia. Wamesema dhambi ya usaliti kwa wananchi ina hukumu sawa na dhambi ya Yuda Iskarioti hivyo watabaki kuwatumikia wananchi wao wakiwa CHADEMA.

CCM MMEKATALIWA NA UMMA ACHENI VURUGU MWONDOKE KWA AMANI 2020.
Nenda kawadanganye mbumbumbu wezako huko!!
 
Yaani leo mwenyekiti wa wilaya akamhonge mwenyekiti wa mtaa wa upinzani?!hebu rudisheni akili basi maana munakimbiwa mpaka mumechanganyikiwa.
 
Makarai hayo...wanapigana kama ndondocha wakati mwenye chama yupo kilimanjaro
 
CCM inatumia nguvu nyingi sana kudeal na chadema badala ya kutuletea maendeleo.
 
Yaani leo mwenyekiti wa wilaya akamhonge mwenyekiti wa mtaa wa upinzani?!hebu rudisheni akili basi maana munakimbiwa mpaka mumechanganyikiwa.
Nasikia kuna kusanyiko Ufipa watu wanalishana Yamini. Kama kweli wananunulika basi wanachama wa hicho chama hawastahili hata chembe kupewa dhamana ya dola. Mtu anakubali kununuliwa Kwa vipande 30 vya Fedha halafu umpe kuongoza dola si atauza nchi na watu wake.
Hata hivyo sishangai Sana kwani hata EL alinunua ugombea ndani ya CHADEMA. Wananunulika; CHADEMA ni kusanyiko la Mayuda Eskariote. Chadema wote ni Yuda kuanzia Mwenyekiti Hadi mjumbe was mtaa.
 
Back
Top Bottom