Kuna katabia sikapendi, kila kitu ambacho si cha kawaida anasingiziwa mchina!!!Hii imefanya akili za watu kuwa fupi na kufikiri kwa mkato!!Zamani na mpaka leo huko vijijini na mijini ambako mchina hawamjui wako watu wenye maumbile haya.Ni homoni na maumbile ya mtu tu!Sio kila mtu anatumia dawa.Ckatai pia kuwa wapo wanaotumia dawa hizo za asili lakini ni wachache kuliko tunavyokuza.Nawasilisha