lazima ukae
JF-Expert Member
- May 15, 2013
- 791
- 417
Jamaa eti kanitumia hii sms akidhani natapelika kirahisi;
Hello, am Mr. Ibrahim from St. NEILSON HIGH SCHOOL Dar, tupo kikaoni tunapitia cv za kuinterview for SECONDARY SCHOOL TEACHER post, CV yako ni nzuri nitakusaidia upate hii kazi kwa masharti yafuatayo, salary ni 1,000,000/=(take home) ukilipwa mshahara wa kwanza utanipa laki 3 kwa kukusaidia, na kabla ya saa 10 na nusu jioni leo uwe umetuma Tsh. elfu 30 by tigopesa kwenda namba hiihii ili nimpe mtu wa interview atanipa maswali nitakutumia leoleo kwenye email, ntakupigia simu nikitoka kikaoni.
Kwa hii sms yake inabidi arudi tena darasani ajifunze mbinu mpya za kutapeli sababu hii ni mbinu ya kizamani sana
Hello, am Mr. Ibrahim from St. NEILSON HIGH SCHOOL Dar, tupo kikaoni tunapitia cv za kuinterview for SECONDARY SCHOOL TEACHER post, CV yako ni nzuri nitakusaidia upate hii kazi kwa masharti yafuatayo, salary ni 1,000,000/=(take home) ukilipwa mshahara wa kwanza utanipa laki 3 kwa kukusaidia, na kabla ya saa 10 na nusu jioni leo uwe umetuma Tsh. elfu 30 by tigopesa kwenda namba hiihii ili nimpe mtu wa interview atanipa maswali nitakutumia leoleo kwenye email, ntakupigia simu nikitoka kikaoni.
Kwa hii sms yake inabidi arudi tena darasani ajifunze mbinu mpya za kutapeli sababu hii ni mbinu ya kizamani sana