tuwe wakweli
JF-Expert Member
- Feb 15, 2014
- 223
- 59
Mtu anaanzisha shule,then kwenye matangazo anaenda kupiga picha majengo sehemu nyingine kama ya chuo fulani kikuu na kusifia huduma zake,lakini kumbe ukweli ni mwingine na wengine wakifika wanaanza kujuta kwani kila kitu standard yake ni F.
NAWASILISHA
NAWASILISHA