Huu ni uonevu

Jamani mi nataka niweke tego kwa majaribio tu kwa sababu naamini wife katulia ila nataka nijipime kama vigezo ninavyotumia kumwamini vipo sawa. Ila hata kama akinasa sitamwacha, nampenda. Ntamfanyia counselling to asijidhuru halafu tuendelee na maisha.
 
kwa nini wanaotegeshewa iwe ni wanawake na si wanawake kuwategeshea waume zao?
Iko hivi, iwapo wanawake watakuwa na uwezo wa kuwategeshea waume zao, kuna uwezekano wakanaswa wanaume wengi kuliko kawaida tofauti na wanawake.

hwhehehehe mitego mizuri na ili unase kitoweo lazima pawe na kitundu..... huwezi kuweka jujuu adui atastuka mapema sasa kwa mwanaume utaweka wapi? kwenye upara?
 

we mkaka mzalendo hadi rahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 

ww dume linalotega ulimbo haliib ndo mana linaumia likiibiwa, pia madem wa cku hiz hamckii kw hyo bora mwkewe ili mjifunze; SHEEENZ..!
 
Ni kweli bibie.@Zinduna Wanaume wanaowatega wake zao ili wasizini nje ya ndoa wapo Wanaume wa aina hiyo Haswa miji ya Pwani Dar,Tanga, Bagamoyo, Zanzibar na Mombasa nchini kenya . Wanaume wenyewe wanakuwa hawana nguvu za kiume na uwezo wa kuwatunza wake zao na Wivu mwingi ,ndio maana hayo matatizo ndio yanayochangia hao wanaume kufanya hicho kitendo cha kuwatega wake zao. Cha kujiuliza Je wewe mume unaye mtega mke wako upo Safi? hufanyi Zinaa?
 

Na wewe ni nani???
 


Umeridhika sasa kwa style yako hiyo ya kupunguza stress au bado unaendelea??
 



Wewe mama mbaya sana,sasa ukiniwekea hiyo tego ya kutodisa halafu ukatangulia mbele ya haki kabla yangu mwenzio huku nilipobaki nitaishije..??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…