Umesahau shule za kata kati ya wanafunzi 40 mmoja anafaulu tena kwa div 3 ya chini! Sasa hizo shule hazina kazi tena!
Mwanafunzi anamaliza haijui maabara, hajui library haijui hajui hata stopwatch, sitanii tena mtafute mwanafunzi wa shule za kata halafu mfanyie interview ndogo tu ya vitu vya kawaida!