Sasa Powder kwanini wewe usielezee kimapana hili tujue vyema kuliko kupanic ..just i want to know.Umeshindwa kuleta habari kamiri inayomuhusisha huyo Kijana wa Mbeya matokeo yake umechomoa Picha tu na kuja kutudanganya hapa.
Kabisa.Duniani kuna watu wanapata shiida sana.