gbefa
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 3,801
- 15,798
katika hii nchi kila mtu ana mamlaka kikubwa tu awe serikalini au kwenye system ukiingia 18 zake umekwisha.
Utashangaa teja wa madawa ya kulevya anakamatwa wakati waingizaji wako wanakula bata hawajui habari za police au mahakamani.
Mlaji wa mwisho ndio muathirika kwanini hizi nguo au vitu vinavyofanania na hayo maswala ya kijeshi yasipigwe marufuku kuingizwa nchini.
Mtu kanunua nguo au beg kaona zuri sio kwa sababu yeye ni Mwanajeshi au lah no kaona zuri au kaona nzuri halafu wapumbavu kama hawa wanafanya hivi.
Tuna safari ndefu sana kimaisha
Utashangaa teja wa madawa ya kulevya anakamatwa wakati waingizaji wako wanakula bata hawajui habari za police au mahakamani.
Mlaji wa mwisho ndio muathirika kwanini hizi nguo au vitu vinavyofanania na hayo maswala ya kijeshi yasipigwe marufuku kuingizwa nchini.
Mtu kanunua nguo au beg kaona zuri sio kwa sababu yeye ni Mwanajeshi au lah no kaona zuri au kaona nzuri halafu wapumbavu kama hawa wanafanya hivi.
Tuna safari ndefu sana kimaisha