Huu ni ubunifu au upumbavu, Watu wa marketing tupeni somo.

Huu ni ubunifu au upumbavu, Watu wa marketing tupeni somo.

Brojust

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
369
Reaction score
1,093
Salaam,

Kuna haja gani ya kuweka picha yako kwenye tangazo la huduma au bidhaa yako wakati wewe sio mtu mashuhuri ?

Tunajua kwa watu mashuhuri ni sawa kuweka picha au artwork yake, mfano hata trump juzi tu ametoa Ile parfume yake ya Victory. (Kwa sasa yeye ni raisi wa Marekani hapo sawa maana Kuna watu anamotivate)

Sisemi kwa vibaya ila mfano kaka mkubwa muuza viwanja maarufu Dar (Boss Kwezi) licha ya attention kubwa na umaarufu wa matangazo yako ya viwanja kulikuwa Kuna haja gani ya kuweka picha yako.

Haya Kuna mgahawa upo Kinondoni, jamaa baada ya kuweka picha ya vyakula anaweka bango kubwa Yuko yeye na watoto wake.

Tunaomba maoni mbali mbali toka kwa wadau maana Kuna mtu nilimsikia anasema picha Huwa ina maana kiroho, je ni kweli ndio maana sasahv hata Lucie Stationary eti nae amejiweka pale kwenye bango picha kubwa yupo na taipu leta.

Nawasilisha.

Kidumu chama Cha mapinduzi........
 
Salaam,

Kuna haja gani ya kuweka picha yako kwenye tangazo la huduma au bidhaa yako wakati wewe sio mtu mashuhuri ?

Tunajua kwa watu mashuhuri ni sawa kuweka picha au artwork yake, mfano hata trump juzi tu ametoa Ile parfume yake ya Victory. (Kwa sasa yeye ni raisi wa Marekani hapo sawa maana Kuna watu anamotivate)

Sisemi kwa vibaya ila mfano kaka mkubwa muuza viwanja maarufu Dar (Boss Kwezi) licha ya attention kubwa na umaarufu wa matangazo yako ya viwanja kulikuwa Kuna haja gani ya kuweka picha yako.

Haya Kuna mgahawa upo Kinondoni, jamaa baada ya kuweka picha ya vyakula anaweka bango kubwa Yuko yeye na watoto wake.

Tunaomba maoni mbali mbali toka kwa wadau maana Kuna mtu nilimsikia anasema picha Huwa ina maana kiroho, je ni kweli ndio maana sasahv hata Lucie Stationary eti nae amejiweka pale kwenye bango picha kubwa yupo na taipu leta.

Nawasilisha.

Kidumu chama Cha mapinduzi........
Picha IPO wapi
 
Salaam,

Kuna haja gani ya kuweka picha yako kwenye tangazo la huduma au bidhaa yako wakati wewe sio mtu mashuhuri ?

Tunajua kwa watu mashuhuri ni sawa kuweka picha au artwork yake, mfano hata trump juzi tu ametoa Ile parfume yake ya Victory. (Kwa sasa yeye ni raisi wa Marekani hapo sawa maana Kuna watu anamotivate)

Sisemi kwa vibaya ila mfano kaka mkubwa muuza viwanja maarufu Dar (Boss Kwezi) licha ya attention kubwa na umaarufu wa matangazo yako ya viwanja kulikuwa Kuna haja gani ya kuweka picha yako.

Haya Kuna mgahawa upo Kinondoni, jamaa baada ya kuweka picha ya vyakula anaweka bango kubwa Yuko yeye na watoto wake.

Tunaomba maoni mbali mbali toka kwa wadau maana Kuna mtu nilimsikia anasema picha Huwa ina maana kiroho, je ni kweli ndio maana sasahv hata Lucie Stationary eti nae amejiweka pale kwenye bango picha kubwa yupo na taipu leta.

Nawasilisha.

Kidumu chama Cha mapinduzi........
Labda anatangaza brand mpya yake!Haina shida kama itaendelezwa,ila inahitaji promotion ya muda mrefu na mara Kwa mara!
 
Inaweza kuwa strategy ya personal branding au just pure attention seeking nonsense, kama picha yako haiongezi trust, credibility, au connection na mteja, then honestly, you’re not marketing, you’re just decorating ego.
Sahihi mkuu!
 
Salaam,

Kuna haja gani ya kuweka picha yako kwenye tangazo la huduma au bidhaa yako wakati wewe sio mtu mashuhuri ?

Tunajua kwa watu mashuhuri ni sawa kuweka picha au artwork yake, mfano hata trump juzi tu ametoa Ile parfume yake ya Victory. (Kwa sasa yeye ni raisi wa Marekani hapo sawa maana Kuna watu anamotivate)

Sisemi kwa vibaya ila mfano kaka mkubwa muuza viwanja maarufu Dar (Boss Kwezi) licha ya attention kubwa na umaarufu wa matangazo yako ya viwanja kulikuwa Kuna haja gani ya kuweka picha yako.

Haya Kuna mgahawa upo Kinondoni, jamaa baada ya kuweka picha ya vyakula anaweka bango kubwa Yuko yeye na watoto wake.

Tunaomba maoni mbali mbali toka kwa wadau maana Kuna mtu nilimsikia anasema picha Huwa ina maana kiroho, je ni kweli ndio maana sasahv hata Lucie Stationary eti nae amejiweka pale kwenye bango picha kubwa yupo na taipu leta.

Nawasilisha.

Kidumu chama Cha mapinduzi........
Mkuu hao ulio wataja mbona ni watu “maarufu” pia kwenye maeneo yao?

Au wewe unataka umaarufu kama wa nani? Trump?

Biashara zina madaraja pia, kwa daraja la biashara ya Lucie au boss kwenzi ni sahihi tu kuweka picha zao hii ni level ya local

Take it easy mkuu.... maisha sio magumu kiasi cha kuona hili ni tatizo

No Reform No Election
 
Mkuu hao ulio wataja mbona ni watu “maarufu” pia kwenye maeneo yao?

Au wewe unataka umaarufu kama wa nani? Trump?

Biashara zina madaraja pia, kwa daraja la biashara ya Lucie au boss kwenzi ni sahihi tu kuweka picha zao hii ni level ya local

Take it easy mkuu.... maisha sio magumu kiasi cha kuona hili ni tatizo

No Reform No Election
Sawa mkuu so mtu kama MO ana approximately 2.2 Billion USD. Mbona kwenye Ile Mo cola hajaweka picha yake ? Mimi nahisi Kuna kitu hapa Cha kueleweshana mkuu
 
Salaam,

Kuna haja gani ya kuweka picha yako kwenye tangazo la huduma au bidhaa yako wakati wewe sio mtu mashuhuri ?

Tunajua kwa watu mashuhuri ni sawa kuweka picha au artwork yake, mfano hata trump juzi tu ametoa Ile parfume yake ya Victory. (Kwa sasa yeye ni raisi wa Marekani hapo sawa maana Kuna watu anamotivate)

Sisemi kwa vibaya ila mfano kaka mkubwa muuza viwanja maarufu Dar (Boss Kwezi) licha ya attention kubwa na umaarufu wa matangazo yako ya viwanja kulikuwa Kuna haja gani ya kuweka picha yako.

Haya Kuna mgahawa upo Kinondoni, jamaa baada ya kuweka picha ya vyakula anaweka bango kubwa Yuko yeye na watoto wake.

Tunaomba maoni mbali mbali toka kwa wadau maana Kuna mtu nilimsikia anasema picha Huwa ina maana kiroho, je ni kweli ndio maana sasahv hata Lucie Stationary eti nae amejiweka pale kwenye bango picha kubwa yupo na taipu leta.

Nawasilisha.

Kidumu chama Cha mapinduzi........
Wanatafuta umaarufu. Wewe ulitaka wafanyeje ili nao wawe maarufu?
 
Boss kwezi ameweka picha ili kuaminisha kwamba sio tapeli.
Mgahawa umewekewa picha ya familia uwatambue wanafamilia wenzako.
 
Sawa mkuu so mtu kama MO ana approximately 2.2 Billion USD. Mbona kwenye Ile Mo cola hajaweka picha yake ? Mimi nahisi Kuna kitu hapa Cha kueleweshana mkuu
Mkuu kila mtu ana hulka yake na levels zake

Mbona Diamond kaweka picha yake kwenye Wasafibet?
Mbona kuna wasanii wakubwa tu USA wanaweka picha na majina yao kwenye biashara zao?

Hebu fanya utafiti mkuu

No Reform No Election
 
Back
Top Bottom