Brigedia Chan-ocha
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 1,353
- 2,849
Kwamba, CCM imepanga kuwatumia Dr. Slaa, Humphrey pole pole na Zitto kumshambulia Lowassa na Ukawa kwa hoja za Richmond na eti, Edward Lowassa aliwahonga Chadema ili wampokee, yaan Lowasa ana pesa jamani duuu!!
Kwamba, CCM chini ya J. Makamba na Hamis Kigwangala wamepanga kuwarubuni kundi la 4U Movement kwa kuwahonga pesa ili wajiengua, hawa ni wale wa Mikoani na Wilayani.
Kwamba, CCM imepanga kuwafarakanisha 4U MOVEMENT and BAVICHA, yaan siasa ya Tanzania tamu sana, maana ni ya maji taka, sijui nchi za wenzetu nazo zinafanya hivi?
Kwamba, Samweli Sitta na Mwakyembe wanaandaa hotuba ya Rais itakayosomwa tarehe 24/10/2015 ambayo itasheheni tuhuma za Richmond kwa kumhusisha Lowassa, na itataja Makampuni ya Lowassa na kuyahusisha na ukwepaji kodi....duuuu.....!
Hiyo hotuba itakuwa imetia fora duniani....maana sharti la kikatiba la kugombea Urais ni kwamba "asiwe alishakutwa na kosa la ukwepaji kodi" sasa Rais atakuwa anaigiza mchezo wa kihindi-hindi hivi...
Kwamba, CCM chini ya J. Makamba na Hamis Kigwangala wamepanga kuwarubuni kundi la 4U Movement kwa kuwahonga pesa ili wajiengua, hawa ni wale wa Mikoani na Wilayani.
Kwamba, CCM imepanga kuwafarakanisha 4U MOVEMENT and BAVICHA, yaan siasa ya Tanzania tamu sana, maana ni ya maji taka, sijui nchi za wenzetu nazo zinafanya hivi?
Kwamba, Samweli Sitta na Mwakyembe wanaandaa hotuba ya Rais itakayosomwa tarehe 24/10/2015 ambayo itasheheni tuhuma za Richmond kwa kumhusisha Lowassa, na itataja Makampuni ya Lowassa na kuyahusisha na ukwepaji kodi....duuuu.....!
Hiyo hotuba itakuwa imetia fora duniani....maana sharti la kikatiba la kugombea Urais ni kwamba "asiwe alishakutwa na kosa la ukwepaji kodi" sasa Rais atakuwa anaigiza mchezo wa kihindi-hindi hivi...