Huu ndo ugonjwa wangu

Huu ndo ugonjwa wangu

KIBURUDISHO

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2011
Posts
1,002
Reaction score
278
Yaani kabla sijaanza kumnywesha sumu ya mahaba demu huwa cha kwanza naangalia vidole vya miguu yaani hapo ndo mapepo yangu yalipolala.Sijui wenzangu na mimi akina Baba Fanueliiii huwa mnachek nini
 

Attachments

  • 1444629012539.jpg
    1444629012539.jpg
    69.7 KB · Views: 2,468
Ha ha ha haaaa kuna pahali kwa mchaga mmoja muuza mtumba nikipita nimevaa viatu vya wazi ananiambia funika kwanza hivyo vidole ndio uongee na mimi hivi akili yangu ya chini imeharibukaaa...
ANGALIZO: Ili ufaidi vizuri inakubidi uwe mpaka rangi miguu yao... utawapata wa kutoooosha!
 
Na mimi pia ni abiria tuliyepanda gari moja na huyo mchaga hebu nitumie picha nione
 
Ila kweli siku za hivi karibuni nimetokea kupenda vidole vya miguu Sana. Sasa sijui kuna kapepo kamehamia kwenye vidole?
 
Sio vibaya kile unacho kipenda lakini watu wametofautiana vitu vinavyo wavutia kimahaba
 
dah hata mimi napenda hivo! vidole vya mikono + kucha na vidole vya miguu + kucha.. unaweza kuwa mbaya lkn kama unavyo hivi bas
 
mie napenda kucha za miguu na mikononi na vidole pia, sasa mwenzangu vidole na kucha hapo juu sijavielewa kwa kwerriii..
 
Back
Top Bottom