Huu ndio Uzalendo wa kweli.

lissah masso

New Member
Sep 25, 2019
2
0
tuache siasa mhe Rais Magufuli anafanya kazi kubwa ya kutuletea maendeleo na mpaka sasa ameonyesha uwezo mkubwa katika kufanikisha yale tulioyategemea kutoka kwake. mnyoge mnyongeni haki yake mpeni.
 
Back
Top Bottom