Huu ndio utaratibu wa kuhakiki BVR??

Ulongupanjala

JF-Expert Member
Apr 9, 2013
7,667
12,289
Habari zenu wakuu?

Jana saa 21:52(usiku) nilitumiwa SMS kutoka kwenye simu +2557523057.. ikiwa na ujumbe huo chini
"Hakiki jina lako kama lipo kwenye daftari la kura fanya yafatayo *152*00# FATA MAELEKEZO KISHA WEKA NAMBA YA KITAMBULISHO"

Nimejiuliza kwanini nitumiwe SMS hiyo usiku,ina maana hao wahakiki wa NEC wanafanya kazi 24hrs?
Nimeshindwa kufuata maelezo yao kwa kuogopa isije ikachukuliwa namba ya kichinjio/kitambulisho changu kishe ikapiga kura ya NDIO kabla ya muda kufika na ikifika 25/10/ wakahesabu kura ya ndio na mimi mwenyewe kuzuiliwa kupiga kura.

Mwenye uelewe zaidi naomba anijuze hapa kwa manufaa ya wengi.

Asanteni wote.
 
Aisee mtueleweshe jamanii maana mwanzo hata nami nlijua ni no ya matapeli wa kura zetu.Lkn juzi nlimsikia mkurugenzi wa tume ya taifa ya uchaguzi via radio station akiitambua hyo no akisema ni no yao ya kuhakiki via line zetu za simu.Nami jana mchana nikaitumia kuhakiki jina langu.Baada kama ya dakika 20-30 nikapata feedback kuwa no yangu imekubaliwa kuhakikiwa.Mwenye details zaidi hebu mtueleze jamani tujue.
 
Aisee mtueleweshe jamanii maana mwanzo hata nami nlijua ni no ya matapeli wa kura zetu.Lkn juzi nlimsikia mkurugenzi wa tume ya taifa ya uchaguzi via radio station akiitambua hyo no akisema ni no yao ya kuhakiki via line zetu za simu.Nami jana mchana nikaitumia kuhakiki jina langu.Baada kama ya dakika 20-30 nikapata feedback kuwa no yangu imekubaliwa kuhakikiwa.Mwenye details zaidi hebu mtueleze jamani tujue.
Nani mwenye mamlaka ya kukuelewesha zaidi ya Tume kama Umemsikia mkurugenzi akizungumza kupitia radio nin zaidi unachotaka
 
habari zenu wakuu?

Jana saa 21:52(usiku) nilitumiwa sms kutoka kwenye simu +2557523057.. Ikiwa na ujumbe huo chini
"hakiki jina lako kama lipo kwenye daftari la kura fanya yafatayo *152*00# fata maelekezo kisha weka namba ya kitambulisho"

nimejiuliza kwanini nitumiwe sms hiyo usiku,ina maana hao wahakiki wa nec wanafanya kazi 24hrs?
Nimeshindwa kufuata maelezo yao kwa kuogopa isije ikachukuliwa namba ya kichinjio/kitambulisho changu kishe ikapiga kura ya ndio kabla ya muda kufika na ikifika 25/10/ wakahesabu kura ya ndio na mimi mwenyewe kuzuiliwa kupiga kura.

Mwenye uelewe zaidi naomba anijuze hapa kwa manufaa ya wengi.

Asanteni wote.

mimi huu utaratibu siupendi,ingawa tunaenda na wakati (digital) lakini tujiulize jamii ya watanzania wanaoishi vijijini wataweza kutumia utatatibu huu.je hapo demokrasia itakuwa imekuwa.amini usiamini idadi kubwa ya watanzania wenye umri kati ya miaka 20 na 30 siku hizi hawajui kusoma na kuandika nani atawahakikia? Au wataburuzwa tu?
 
Back
Top Bottom