Huu ndio uongo wa Padri Mapunda kwa CCM na mapenzi yake Chadema

Huyo padre ndo wale wale wanaohubiria waumini viwango wa sadaka wanasotakiwa kutoa. Huyo itabidi CAG amfanyie auditing ili kujua utajiri wake manake analala anaota utajiri.
typical vapour! pity you!
 
Hivi kwa nini kila anaeikosoa CCM ni Chadema?

Wengine hata ofisi za kata za chadema hatuzijui lakini hatuwezi kuacha kukosoa madudu yanayofanywa na CCM, CCM imeoza full stop.


HAta Sumaye in CDM loH!
 
Padri yuko sahihi we unadhani ridhiwani ng mama yake wamepitwa bila kupingwa kwa sababu hakuna watu ccm wa kugnmbea nao? Huwezi kulinganisha siasa za ccm na chadema juu ya uteuzi wa viti maalum bungeni. Katika nchi nyingi za kiafrika wasomi wengi ni waoga kujihusisha na sias za upinzani wengi wanakimbilia kugombea vyeo ili watajirike haraka. hili linaonekana kirahisi tu kwenye vyama hivi, wanawake wasomi ni wachache upinzani na hao wacache wanatokana na ushawishi wao hao ndugu zao sasa utategemea nini kwenye uteuzi. hapa una darasa la saba sio na hapa una mwenye digrii lakini ni ndugu yako na huko bungeni ni hoja nzito zinajadiliwa na chama ni lazima kipambane kujibu hoja ili wananchi wasije wakakidharau kwa kukosa hoja unafanyaje? ccm leo hii wakisema wamekosa watu wa kugombea vyeo ndo maana wameruhusu wengine wapite bila kupingwa ni uongo wa juani, ni undugunisation tu hapo hakuna kitu.
 
Kinachosikitisha ni kwamba hali ya hewa ikichafuka kutokana na tabaka fulani kupendelea wateule wao wachache,viongozi hao hao walio sababisha hali hiyo tete huwa wa kwanza kutaka msaada toka kwqa viongozi wa kiroho kuwaweka sawa waumini.

Ni hatari kwa taifa dhaifu lililo kosa uadilifu kuthubutu kumkemea kiongozi wa kidini kwa kitendo cha kukosoa na kusimamia maadili ya jamii husika.Watasema sana lakini hawatashinda,siku ya kufa nyani miti yote huteleza.Rudi kajipange upya,jamii inapokosea lazima ielezwe bayana



 

wanapoongea viongozi wa uamsho huwa hatuwaoni au ndio Padri ???
 
Muulize ana watoto wangapi mtaani manake siku hizi imekuwa ajira sio utumishi wa bwana tena.Kesho kutwa tusishangae akawa katibu msaidizi wa christian democratic movement (cdm)
 
Mleta uzi umeharibu kwa kuandika kwa jaziba na chuki na mwisho wa yote kile unachomtuhumu Fr.Mapunda umekienzi wewe. Umeonysha chuki dhidi ya watu wengine na CDM bila sababu. Ungemtuhumu padre huyu bila kuonyesha kuwa wewe kwako tuhuma ziwe tuhuma lazima ziwe ni kwa chama kingine lakini sio CCM. Kosa ni kosa na haliwi kosa kwa sababu na wengine wamelifanya. Kwa CCM sioni unachokitetea. Mauaji na migomo haiwezi kuwa jambo jema pale ambapo uwezo wa kuvizuia vitu hivyo upo. Watu wanadai haki zao zilizoporwa wewe unasema huna fedha lakini unafanya sherehe za mabilioni, safari zisizoisha na ambazo zimedhihirisha pasi na shaka hazina tija. Hapo kweli utawalaumu wanaogoma. Utawatetea wanaosababisha wagome? Migomo ya wakati wa Mwalimu na ya sasa are two different things and causes are different. Hii ya sasa hivi ingeweza kuzuilika lakini inasababishwa na seriakli na chama ambao wamekosa vipaumbele na uzalendo. Huu ni ukweli unaosemwa kila uchao na wengine wanasemea chinichini lakini akitokeas shojaa kama padre huyu kwako inakuwa nongwa. Kwanini usimlaumu Frederick Sumaye kwa yale aliyosema juzijuzi. Kwanini usimlaumu Ulimwengu na Mbwambo na makala zao zinazokosoa serikali na CCM. Hivikwa sababu padre kasema. Alichokisema padre ndicho wenye mapenzi na wazalendo wa nchi hii wanakisema. Usifukie uchafu chini ya busati
 
jitafakari watu watakavyo kujibu. unaona majibu ya watu, hao wote hawaichukii ccm nadhani wana hoja za msingi
 
Mleta mada kaandika kirefu na kwa namna ya kuchosha sana.

Padre yoyote ana wajibu wa kukemea maovu katika jamii. Na CCM ya leo ni uovu uliokithiri. Kusema kuna wengine waovu pia haifanyi CCM isafishike. Two wrongs don't make a right.
 
Mbona Museveni analaumiwa kwa mambo haya haya ya JK? Nduganization of politics is a bad omen for Tanzania
 
Hivi kwa akili yako unategemea Padri Mapunda atakuwa chama gani.

hana chama mapadr hatoruhusiwi kuwa wanachama wa chama chochote cha siasa azimio hilo lilipitishwa na baraza la maaskofu katoliki Tanzania mwaka 1992.. Baada ya mfumo wa vyama vingi kuanza ila hapo nyuma engi waliokuwa interested na siasa walikuwa TANU na baadaye CCM
 
si alichoongea padri mapunda ndiyo kilicho fanya watu wachukie ccm. hata kama asiongea. kama wewe ni mchafu ni mchafu tu siyo mtu akikwambia ndiyo watu waone, ni sawa sawa na CCm ata kikisimama chenyewe bila kusemwa ni chama kichafu mno. ukitakka kupima kama akili yako iko sawa check kama una kipenda ccm? kisha utajijua kama wew si mgonjwa wa akili. kuona uchafu wa CCm si lazima uwe mwana chama wa CDM ili mradi tu usiwe na aki finyu na unafki.
 
sidhani kama kuwa tu na uhusiano na mtu maarufu ni ticket ya kuwa condemned katika shughuli za public au kazi za kuteuliwa.

si haki kuwanyima watanzania wenzetu hawa kuwania hivi viti,
hawa wamekuwa exposed kwenye hizi shughuli tangu wanakua, wanapata ushauri wa mbinu na mitazamo toka kwa watu waliobobea,
maisha yao yote wako informed na hizi issue, sio rahisi kuwafuta humu, baadhi yao hii ndio career pekee wanaoijua.
ni kama mimi uniweke pamoja na mtoto wa mkulima au mfugaji utegemee tuvune sawa!! haiwezekani.
malezi ya watoto yaathiri sana akili zao na mitazamo yao watakapokuwa watu wazima. (effects nzuri au mbaya)
Mi nadhani tuwapongeze hawa wazazi kwa kuweza kuonyesha kwa vitendo na kuinfluence kizazi chao kupenda kizi kazi za jamii.

LAKINI: TAHADHARI, natumaini KILICHOWAVUTIA NI KUWA wameona kazi nzuri za wazazi wao, sio opportunity ya kuonea, kukanyaga, wananchi wasiojua humo ndani kuna nini.
 
Hivi kwa akili yako unategemea Padri Mapunda atakuwa chama gani.

Ukiona mtumishi wa Mungu - awe Shehe au mchungaji yuko CCM kuna mawili.
Aidha ni muuza madawa ya kulevya na hivyo anahitaji ulinzi wa serikali ya CCM, au Yuko CCM kuikemea na kuwarudisha mafisadi kwa Mungu. kama yupo CCM basi anabelong kwenye kundi la pili, maana waliokundi la kwanza wanajulikana kwa matendo yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…