Maeneo ya mtaa wa kibini musoma mjini ulinzi shirikishi wanakamata watu na kuwanyang'anya vitu mbalimbali, kuna jamaa alikamatwa mnamo saa tano za usiku, akaombwa kutoa pesa alipokataa waliamua kumsachi na kuchukua pesa zote alizokuwa nazo ndipo wakamwachia.Hii ni sawa?