The ice breaker
JF-Expert Member
- Apr 20, 2023
- 1,119
- 2,436
Kitulize kipigwe na upepo..Kama hivyo vyote havipo, unahangaikia nini sasa? Mbona unamenyana na upepo?
SAwa ila kaz nzur ya din ni kutulelea watoto na vizaz vyetu kwa kuwahasa mabaya sio mazurDini zote ni utapeli tu, ukristu uliletwa na wakristu kutoka Ulaya na wale wakujiita wamisionari, the same to Muslim under Arabs.
Ukristu ni utamaduni wa kigeni kutoka Ulaya, na Islam ni tamaduni mpya kutoka Kwa waarabu, lengo la kuja Hawa wahuni afrika, ni kuchukua Malighafi, watumwa na mambo mengi ya kinyonyaji Kutoka afrika, kwahyo dini zilitumika kama kuwatishia afrika Ili watutawale vizuri..
Wakaandika script za kitapeli zikawekwa kwenye maandishi sahivi mnaita biblia au koloani..
Waafrika wakadanganywa eti ukitenda dhambi utaenda motoni , wakatengenezewa nadharia, eti Kuna Mungu., sijui Yesu , kuzimu, peponi , motoni, hivyo vyote vilitumika kuwatishia wa afrika, Ili watunyonye vizuri.. Walijenga makanisa, misikiti, shule , lengo ku preach utapeli kupitia nadharia ya Mungu..
Pia lengo lao kubwa, ni kuua tamaduni za mwafrika za kuabudu, waafrica tulikuwa tunaabudu miungu yetu, kama milima, miti mikubwa , tulikuwa na mambo yetu tunayaamini, na yalikuwa yanatusaidia kweli .
Kwahyo usidanganywe, hakuna mungu , hakuna Yesu, hakuna pepo, hakuna motoni, unaishi Kwa nadharia tu,
Kila ana picha ya mungu wake aliye mtengeneza kichwani( imaginary) but in real sence hakuna mungu,
Wewe uliwahi kumuona shetani? Au unapicha yako tu ya shetani kichwani kwako haha 🤣 kwamba shetani ana meno makubwa mawili, na mapengo, Lina sura mbaya , jitu Fulani hivi la kutisha
Mnapoteza muda huko makanisani na msikitini, mnapeliwa mnawafanya wengine wawe matajiri kupitia sadaka zenu
Ukifa habari yako imeisha , huendi popote, tena hauna tofauti kama kafa mbwa , au paka , maana na wewe ni mnyama tu , kama ng'ombe..
Jiulize kabla ya kutungwa mimba ulikuwa wapi, so the same applied ukifa ndio utakavyo feel before ya wewe kuwa mimba.. huendi motoni wala mbinguni..
Hawo wachungaji wenu wanamitunguli , wanatumia nguvu za Giza kuwapumbaza
Fanya maisha yako Kwa kutumia Common sense tu.
When the debate is lost, insults become the loser's tool. ~SocratesKitulize kipigwe na upepo..
You have to argue with facts, don't be like a shame ...When the debate is lost, insults become the loser's tool. ~Socrates
Wewe ni mtaji wa mwamposaWammposa jana Kawa prove Long naona hamuishi kutapa tapa
YESU KRISTO ni mfalme wa wafalme
Logical non sequitur.Uthibitisho mkuu wa uwepo wa Mungu ni uwepo - uwepo wa kila kitu ulimwenguni.
AtheistDini zote ni utapeli tu, ukristu uliletwa na wakristu kutoka Ulaya na wale wakujiita wamisionari, the same to Muslim under Arabs.
Ukristu ni utamaduni wa kigeni kutoka Ulaya, na Islam ni tamaduni mpya kutoka Kwa waarabu, lengo la kuja Hawa wahuni afrika, ni kuchukua Malighafi, watumwa na mambo mengi ya kinyonyaji Kutoka afrika, kwahyo dini zilitumika kama kuwatishia afrika Ili watutawale vizuri..
Wakaandika script za kitapeli zikawekwa kwenye maandishi sahivi mnaita biblia au koloani..
Waafrika wakadanganywa eti ukitenda dhambi utaenda motoni , wakatengenezewa nadharia, eti Kuna Mungu., sijui Yesu , kuzimu, peponi , motoni, hivyo vyote vilitumika kuwatishia wa afrika, Ili watunyonye vizuri.. Walijenga makanisa, misikiti, shule , lengo ku preach utapeli kupitia nadharia ya Mungu..
Pia lengo lao kubwa, ni kuua tamaduni za mwafrika za kuabudu, waafrica tulikuwa tunaabudu miungu yetu, kama milima, miti mikubwa , tulikuwa na mambo yetu tunayaamini, na yalikuwa yanatusaidia kweli .
Kwahyo usidanganywe, hakuna mungu , hakuna Yesu, hakuna pepo, hakuna motoni, unaishi Kwa nadharia tu,
Kila ana picha ya mungu wake aliye mtengeneza kichwani( imaginary) but in real sence hakuna mungu,
Wewe uliwahi kumuona shetani? Au unapicha yako tu ya shetani kichwani kwako haha 🤣 kwamba shetani ana meno makubwa mawili, na mapengo, Lina sura mbaya , jitu Fulani hivi la kutisha
Mnapoteza muda huko makanisani na msikitini, mnapeliwa mnawafanya wengine wawe matajiri kupitia sadaka zenu
Ukifa habari yako imeisha , huendi popote, tena hauna tofauti kama kafa mbwa , au paka , maana na wewe ni mnyama tu , kama ng'ombe..
Jiulize kabla ya kutungwa mimba ulikuwa wapi, so the same applied ukifa ndio utakavyo feel before ya wewe kuwa mimba.. huendi motoni wala mbinguni..
Hawo wachungaji wenu wanamitunguli , wanatumia nguvu za Giza kuwapumbaza
Fanya maisha yako Kwa kutumia Common sense tu.
Imani itafanya uamini yupoLogical non sequitur.
Una unganisha vitu viwili tofauti visivyo na uhusiano wowote ule kuunda hitimisho potofu.
USITUMIE vitu ambavyo tayari vipo kwenye existence kutaka kufosi kwamba viliumbwa na huyo Mungu wako wa kufikirika.
Thibitisha uwepo wa huyo Mungu, yeye kama yeye.
Sali ....tenda mema...amini mungu yupo ....ata ukifa ukakuta yupo upo mikono salama ama ukimkosa basiKwahiyo unataka kutufundisha nini sasa tunao amini dini?
Prove long✅Wammposa jana Kawa prove Long naona hamuishi kutapa tapa
YESU KRISTO ni mfalme wa wafalme