TheCombination
JF-Expert Member
- May 21, 2021
- 370
- 727
Kwan wewe umekatazwa mkuu.Au huu uzi unasababishia PUMU?Imekua simple sana siku hizi kuanzisha thd jf,utafikiri ni mashindano vile,mada ya hovyo kabisa hii.
Kwan wewe umekatazwa mkuu.Au huu uzi unasababishia PUMU?Imekua simple sana siku hizi kuanzisha thd jf,utafikiri ni mashindano vile,mada ya hovyo kabisa hii.
Sijui kama ni hivyo kwani kuna tetesi madhila ya Mbowe yana msukumo wa Zerro na Mchengerwa
Atakula 30Amini nakwambia. Kukimbizwa kwa kesi ya Sabaya ni ili kesi ya Mbowe imalizike coz ishakua ngetwa. Ipo hivi, Mbowe kupewa kesi ni ili kupisha kesi ya Sabaya iishe bila yeye kuwa kama shahidi kwa sababu yeye ni mmoja ya waliotendwa na Sabaya. Na hili limefanyika makusudi coz Mbowe angetinga mahakamani na ushahidi uliokithiri na angefichua na mengine yasiyopaswa kujulikana. Sabaya mwenyewe alianza kuropoka we unadhan mbowe angepigilia msumari na ushahidi wa kutosha pangekalika? Kifuatacho sasa ni Mbowe kutoka tu coz washatimiza lengo na hawana haja ya kumshikilia tena coz ishaanza kuwacost.
Coz coz coz coz coz coz😏😏Amini nakwambia. Kukimbizwa kwa kesi ya Sabaya ni ili kesi ya Mbowe imalizike coz ishakua ngetwa. Ipo hivi, Mbowe kupewa kesi ni ili kupisha kesi ya Sabaya iishe bila yeye kuwa kama shahidi kwa sababu yeye ni mmoja ya waliotendwa na Sabaya. Na hili limefanyika makusudi coz Mbowe angetinga mahakamani na ushahidi uliokithiri na angefichua na mengine yasiyopaswa kujulikana. Sabaya mwenyewe alianza kuropoka we unadhan mbowe angepigilia msumari na ushahidi wa kutosha pangekalika? Kifuatacho sasa ni Mbowe kutoka tu coz washatimiza lengo na hawana haja ya kumshikilia tena coz ishaanza kuwacost.
Hii ni awamu ya mchengerwa lkn asubirie msumari wa moto piaSijui kama ni hivyo kwani kuna tetesi madhila ya Mbowe yana msukumo wa Zerro na Mchengerwa
Ngoja na mimi nibahatishe. Sabaya kafungwa ili Mama Apete Mikoa ya Kaskazini (KL na AR). Hiyo ngome ilikuwa haingiliki kirahisi. Hivyo hukumu ilipelekwa makusudi kusubiria Mama akiwa huko basi Sabaya keshatolewa kafara na mvua 30. Mbowe atafungwa kwa sababu kuna watu hawataki kusumbuliwa lakini pia ile state of emergency aliyoandika mdau mmoja hapa. Na tukae tukijua kila anayeshangilia kifo cha Dkt Magufuli waweza kuwa target hasa wenye vyeoAmini nakwambia. Kukimbizwa kwa kesi ya Sabaya ni ili kesi ya Mbowe imalizike coz ishakua ngetwa. Ipo hivi, Mbowe kupewa kesi ni ili kupisha kesi ya Sabaya iishe bila yeye kuwa kama shahidi kwa sababu yeye ni mmoja ya waliotendwa na Sabaya. Na hili limefanyika makusudi coz Mbowe angetinga mahakamani na ushahidi uliokithiri na angefichua na mengine yasiyopaswa kujulikana. Sabaya mwenyewe alianza kuropoka we unadhan mbowe angepigilia msumari na ushahidi wa kutosha pangekalika? Kifuatacho sasa ni Mbowe kutoka tu coz washatimiza lengo na hawana haja ya kumshikilia tena coz ishaanza kuwacost.
Hamnazo nenda kamtete Sabaya na MwendazakeMakamanda uchwara wanajiona akili zao ni timamu.
Ona sasa unavyojiona una akili timamu.Hamnazo nenda kamtete Sabaya na Mwendazake
"....Siko tayari kumjadili Sabaya, mtoto mpotevu, mhuni, mtu mjinga, aliyetumwa na wajinga kuja kufanya mambo ya kijinga, mimi ninajikita kujadili mambo yenye maslahi mapana kwa nchi yetu...."
Asingebadili hukumu bali kuna majina makubwa yangeanikwa juani. As long as Sabaya alishawataja baadhi unadhan wangejitetea vipi?
Sio kubadili HUKUMU bali MENGI YANGESIKIKA ambayo Pengine yangetupasua MASIKIOKwani Mbowe angetoa ushahidi nini kingebadili hukumu tofauti na hii hukumu ya leo?
Ishaa Allah atanyongwa mamayako kwanza. Ameen thumma ameen.Time ya kumnyonga Mbowe ili twende sawa
Coz coz coz coz coz coz