Jembebutu
Member
- Feb 14, 2017
- 88
- 225
Amini nakwambia. Kukimbizwa kwa kesi ya Sabaya ni ili kesi ya Mbowe imalizike coz ishakua ngetwa. Ipo hivi, Mbowe kupewa kesi ni ili kupisha kesi ya Sabaya iishe bila yeye kuwa kama shahidi kwa sababu yeye ni mmoja ya waliotendwa na Sabaya. Na hili limefanyika makusudi coz Mbowe angetinga mahakamani na ushahidi uliokithiri na angefichua na mengine yasiyopaswa kujulikana. Sabaya mwenyewe alianza kuropoka we unadhan mbowe angepigilia msumari na ushahidi wa kutosha pangekalika? Kifuatacho sasa ni Mbowe kutoka tu coz washatimiza lengo na hawana haja ya kumshikilia tena coz ishaanza kuwacost.