Huu ndio mzaha wa kiuongozi

Huu ndio mzaha wa kiuongozi

JET SALLI

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2014
Posts
2,993
Reaction score
2,034
Nimemsikia mkuu wa nchi eti Richmond ni ya Lowassa, kumbuka haya majibu yanatoka leo miaka nane, kwa mtu makini haya sio ya kuayaongelea kabisa katika dakika za mwisho za watu kupiga kura ina maana moja kwa moja unawaambia watanzania kuwa wewe hukuwa raisi makini, ndio maana kuna msemo usemao kwamba mtu akichanganyikiwa anaweza akawa anajitukana bila kujua kuwa anajitukana na kujidharau. Mimi nadhani mkutano wa Mwanza unatutaka tuipumzishe CCM KWA MIZAHA HII.

CCM KWA HERI YA KUONANA.
 
hop tutakuwa tumeshaandikwa tena kwenye historia ya dunia kwa kutoa kihoja kingine. yaani ndani ya siku moja vioja viwili!!! uteuzi wa makatibu wakuu lakini pia rais amelalamika. kwa nini hakuchukua hatua na amesubiri miaka nane baadae ndio aseme? natabiri na tusubiri kihoja kingine pia cha watanzania kupigiwa kura.........
 
hop tutakuwa tumeshaandikwa tena kwenye historia ya dunia kwa kutoa kihoja kingine. yaani ndani ya siku moja vioja viwili!!! uteuzi wa makatibu wakuu lakini pia rais amelalamika. kwa nini hakuchukua hatua na amesubiri miaka nane baadae ndio aseme? natabiri na tusubiri kihoja kingine pia cha watanzania kupigiwa kura.........
Usichotaka kuelewa ni kuwa Lowasa aliwajibishwa kwa kosa la kutumia vibaya madaraka!
Kwa kuwa raisi alijua uzembe ule ndio maana aliunda tume huru kumchunguza! Kumshtaki ilikuwa mbaya kwa kuwa huyu hujuma yake ilikuwa matumizi mabaya ya madaraka!
Ila kumbuka raisi pia ni mtanzania na kuna kipindi alishawahi kuwa RAIA wa kawaida, anatujua watanzania tulivyo vigeugeu!
Mara fisadi afungwe, Mara mnasema hana hatia!
Leo watanzania wanamtaka mbakaji babu seya awe huru!
Chadema leo watamkataa Slaa wanamtaka Lowasa! Yaani nyinyi hamuaminiki!
Ni kioja kikubwa mtu aliyelalamikia kuwa hafai na nchi nzima leo tumpe dhamana kuliongoza!
 
Ni maajabu.Wananchi tuanze kudai viwanja vyote vilivyojengwa na babu zetu halafu et ni vya ccm,ccm!vile ni vya umma.
 
Ni maajabu.Wananchi tuanze kudai viwanja vyote vilivyojengwa na babu zetu halafu et ni vya ccm,ccm!vile ni vya umma.

CCM ni UMMA ukibisha subiri mpaka utapomuona Mzee yupo Monduli anakamua Ng'ombe
 
Usichotaka kuelewa ni kuwa Lowasa aliwajibishwa kwa kosa la kutumia vibaya madaraka!
Kwa kuwa raisi alijua uzembe ule ndio maana aliunda tume huru kumchunguza! Kumshtaki ilikuwa mbaya kwa kuwa huyu hujuma yake ilikuwa matumizi mabaya ya madaraka!
Ila kumbuka raisi pia ni mtanzania na kuna kipindi alishawahi kuwa RAIA wa kawaida, anatujua watanzania tulivyo vigeugeu!
Mara fisadi afungwe, Mara mnasema hana hatia!
Leo watanzania wanamtaka mbakaji babu seya awe huru!
Chadema leo watamkataa Slaa wanamtaka Lowasa! Yaani nyinyi hamuaminiki!
Ni kioja kikubwa mtu aliyelalamikia kuwa hafai na nchi nzima leo tumpe dhamana kuliongoza!

We pimbi kumbe hata ww pia hujielew, hivi ww hujiulizi kashfa ya mwaka 2008 inakuja kutolewa majibu leo..? Escrow, EPA,Mabehewa mabovu, kivuko kilichonunuliwa kwa pesa nyingi wakat kimechakaa na kukamatwa kwa pembe za ndovu. Hayo yote nani atakaetupatia majibu..? au ndio tusubir wakiingia madarakan waje kutupa majibu cku moja kabla ya uchaguz wa 2020..
 
Usichotaka kuelewa ni kuwa Lowasa aliwajibishwa kwa kosa la kutumia vibaya madaraka!
Kwa kuwa raisi alijua uzembe ule ndio maana aliunda tume huru kumchunguza! Kumshtaki ilikuwa mbaya kwa kuwa huyu hujuma yake ilikuwa matumizi mabaya ya madaraka!
Ila kumbuka raisi pia ni mtanzania na kuna kipindi alishawahi kuwa RAIA wa kawaida, anatujua watanzania tulivyo vigeugeu!
Mara fisadi afungwe, Mara mnasema hana hatia!
Leo watanzania wanamtaka mbakaji babu seya awe huru!
Chadema leo watamkataa Slaa wanamtaka Lowasa! Yaani nyinyi hamuaminiki!
Ni kioja kikubwa mtu aliyelalamikia kuwa hafai na nchi nzima leo tumpe dhamana kuliongoza!
swali kubwa ambalo hamtoi jibu ni kwanini mpaka sasa hamjampeleka mahakamani
 
Tatizo letu Watanzania haliko kwa watawala wachache wasiojielewa, Bali liko kwa wanaojielewa wengi ambao wameamua kunyamaza na kuridhika na upuuzi kwa mwanvuli wa "safety" so tusilaumu tunapopitia.

Ukichagua hivyo, tegemea kuishi hivyo.
 
Eti mm ndio amiri jeshi mkuu ww,ww,ww acha mchezo huo nyakat hizi,ni nani anaekunyang'anya ufahamu nyakati hz ss ndio tuliokupa huo uamirijeshi mkuu unaolingia na sasa tunaurudisha kwetu leo hii.
 
Back
Top Bottom