Huu mwaka nimeutimba sijui hata nafanyaje?

Huu mwaka nimeutimba sijui hata nafanyaje?

navigator msomi

Senior Member
Joined
May 8, 2018
Posts
199
Reaction score
266
Iko hivi ,nilihamia hapa dsm mnamo mwezi wa saba mwaka jana nilivofika kuna dem nilisoma nae chuo tukadate kidogo then after mimi kumaliza chuo nikamtema coz hakua chaguo zangu ..

Sasa nilivokuja hapaa, akawa amenicheki akaniambia yeye yuko moro...ni muda mrefu sana hatukua tumewasiliana kama miaka minne hivi tangu tumalize chuo.

Alivonicheki plus upweke na upwiru wa ugeni hapa dar ikabidi nimuite walau nipunguze upwiruu..

Alivokuja nimepiga hiyo cku karudi job kwake baada ya wiki tatu ananiambia ana mimba,nikasema sio shida

Alivokaribia kujifungua akabeba baadhi ya vyombo akaja gheto kuviacha ili aende kwao kujifungua..

Sasa alivojifungua kakaaa kama miezi minne bila mm kumfuata maana mategemeo yake kwamba nimfuate tuje tuishi pamoja...

Alivoona simfuati akaamua afunge safari na mabegi yake yote aje kwangu bila taarifa..alivofika usku nikashindwa mfukuza ikabidi nimpokee

Sasa shida inakuja hataki kutoka rudi kwao, mm moyo wangu hauko kwake na ninaona hata tukioana hatuwezi kuwa na chemistry nzuri..

Nishajaribu kila mbinu yakumtoa ila nimeshindwa cjui hata nifanyaje wakuuu...aaaaah nachoka mwenzenuu
 
Inawezekana ukawa unapoteza mke wa maana sana kwa sababu ya vimini.
Nakushaurh yafuatayo

1. Acha ujinga

2. Lea mkeo na mtoto wako (acha kutengeneza single mother pamoja na watoto wa mitaani kwa sababu za kipuuzi

3. Achana na chemistry ya darasani, hapo tayari mmeisha compose family acha kuidecompose, mmeisha bond tayari.

4. Kama wazazi wako hawakuishi aina ya maisha unayotaka kuishi basi acha kuleta laana katika familia, na kama wameishi kwa kutengana tengana hvo jaribu kuondoa hyo laana katika lango lako kwa kuepuka upuuzi huo.

5. Sikujui na hunijui, acha upumbavu na acha utoto, huyo mwenye kemia unayemtafuta akishndwa kukupa mtoto utadhani mtakuwa watu au mtakuwa organic chemistry.

6. Kaeni chini mpange maisha jinsi ya kuendesha familia yenu.

KAMA UNA KINGA'SITI HUKO, MWAMBY AJIHESHIMU MAANA UNA FAMILIA.

MWAKA WAKO NI WA BARAKA SANA
 
Inawezekana ukawa unapoteza mke wa maana sana kwa sababu ya vimini.
Nakushaurh yafuatayo

1. Acha ujinga

2. Lea mkeo na mtoto wako (acha kutengeneza single mother pamoja na watoto wa mitaani kwa sababu za kipuuzi

3. Achana na chemistry ya darasani, hapo tayari mmeisha compose family acha kuidecompose, mmeisha bond tayari.

4. Kama wazazi wako hawakuishi aina ya maisha unayotaka kuishi basi acha kuleta laana katika familia, na kama wameishi kwa kutengana tengana hvo jaribu kuondoa hyo laana katika lango lako kwa kuepuka upuuzi huo.

5. Sikujui na hunijui, acha upumbavu na acha utoto, huyo mwenye kemia unayemtafuta akishndwa kukupa mtoto utadhani mtakuwa watu au mtakuwa organic chemistry.

6. Kaeni chini mpange maisha jinsi ya kuendesha familia yenu.

KAMA UNA KINGA'SITI HUKO, MWAMBY AJIHESHIMU MAANA UNA FAMILIA.

MWAKA WAKO NI WA BARAKA SANA
I second u, amnyooshe na mkewe apunguze kisirani!
 
Iko hivi ,nilihamia hapa dsm mnamo mwezi wa saba mwaka jana nilivofika kuna dem nilisoma nae chuo tukadate kidogo then after mimi kumaliza chuo nikamtema coz hakua chaguo zangu ..

Sasa nilivokuja hapaa, akawa amenicheki akaniambia yeye yuko moro...ni muda mrefu sana hatukua tumewasiliana kama miaka minne hivi tangu tumalize chuo.

Alivonicheki plus upweke na upwiru wa ugeni hapa dar ikabidi nimuite walau nipunguze upwiruu..

Alivokuja nimepiga hiyo cku karudi job kwake baada ya wiki tatu ananiambia ana mimba,nikasema sio shida

Alivokaribia kujifungua akabeba baadhi ya vyombo akaja gheto kuviacha ili aende kwao kujifungua..

Sasa alivojifungua kakaaa kama miezi minne bila mm kumfuata maana mategemeo yake kwamba nimfuate tuje tuishi pamoja...

Alivoona simfuati akaamua afunge safari na mabegi yake yote aje kwangu bila taarifa..alivofika usku nikashindwa mfukuza ikabidi nimpokee

Sasa shida inakuja hataki kutoka rudi kwao, mm moyo wangu hauko kwake na ninaona hata tukioana hatuwezi kuwa na chemistry nzuri..

Nishajaribu kila mbinu yakumtoa ila nimeshindwa cjui hata nifanyaje wakuuu...aaaaah nachoka mwenzenuu
Mwanamke mbaya hakuzalii mtoto ni basi tu hujagundua hilo
Labda una ndoto za kumwoa Rihanna na hutaki kusema navigator msomi
 
Iko hivi ,nilihamia hapa dsm mnamo mwezi wa saba mwaka jana nilivofika kuna dem nilisoma nae chuo tukadate kidogo then after mimi kumaliza chuo nikamtema coz hakua chaguo zangu ..

Sasa nilivokuja hapaa, akawa amenicheki akaniambia yeye yuko moro...ni muda mrefu sana hatukua tumewasiliana kama miaka minne hivi tangu tumalize chuo.

Alivonicheki plus upweke na upwiru wa ugeni hapa dar ikabidi nimuite walau nipunguze upwiruu..

Alivokuja nimepiga hiyo cku karudi job kwake baada ya wiki tatu ananiambia ana mimba,nikasema sio shida

Alivokaribia kujifungua akabeba baadhi ya vyombo akaja gheto kuviacha ili aende kwao kujifungua..

Sasa alivojifungua kakaaa kama miezi minne bila mm kumfuata maana mategemeo yake kwamba nimfuate tuje tuishi pamoja...

Alivoona simfuati akaamua afunge safari na mabegi yake yote aje kwangu bila taarifa..alivofika usku nikashindwa mfukuza ikabidi nimpokee

Sasa shida inakuja hataki kutoka rudi kwao, mm moyo wangu hauko kwake na ninaona hata tukioana hatuwezi kuwa na chemistry nzuri..

Nishajaribu kila mbinu yakumtoa ila nimeshindwa cjui hata nifanyaje wakuuu...aaaaah nachoka mwenzenuu
Unasemea mwaka kesho au mwaka jana mwamba?
 
Back
Top Bottom