prince alex khalifa
JF-Expert Member
- Aug 20, 2025
- 424
- 498
Nje wap nend zanzbarBasi tuhamie huko nje tukawaoe, tuachane na hawa waafrika😅
Nje wap nend zanzbarBasi tuhamie huko nje tukawaoe, tuachane na hawa waafrika😅
Huruma kw mume, kuheshm ndoa, hawazururi ovyo wao n ndan tu, hakunyim unyumba, bila sabab ya kuelewek, kak kwema lakin sijakupata siku mbil hiz kakaWaarabu na wamatumbi tofauti yao ni ipi?
HahahaNje wap nend zanzbar
Ngoja ngoja huumiza matumbo vijana wa hovyo watakuiba nikisubiri huo uchafuzi upite.Watekaji niwatoe wapi jana tu nimelala hola! We kavp subiri maandamano yapite !
Jamaa ni mkorofi kama lilivo jina lako 😁😁😁😁😂😂😂😂Wewe mumeo anakupa uhuru kama huo ? Au anakubana ?
Ni asili ya vilaza muache abwatuke akimaliza atalala.Jamaa ni mkorofi kama lilivo jina lako
Hii ipo sahihi unaweza kuoa mwanamke ukiwa na miaka 25 na ikakuchukua miaka 25 mingine hadi kuja kumuelewa tabia yake halisi.Sema kweli hawa watu wana shida..
Kuna huyu ana mume wake kabisa ila anadiriki kunambia mimi et yupo na kumewe kimkakati ya yupo radhi aachane nae twende tukale bata huko
Hawa viumbe jau sana aiseeeeee ....Hii ipo sahihi unaweza kuoa mwanamke ukiwa na miaka 25 na ikakuchukua miaka 25 mingine hadi kuja kumuelewa tabia yake halisi.