Huu msala ungeusovu vipi

Huu msala ungeusovu vipi

anthonyyose

Member
Joined
Jun 14, 2013
Posts
12
Reaction score
0
demu wako kaenda kukutambulisha kwao kufika getini unamkuta dada ake ambae ni demu wako wa zaman kidogo unamuona kaka ake ulipgana nae kwasabab alikufumania na demu wake ulipoangalia ndani ukamuona mama ake ambae ni sugar mumy wako na ndo alokununulia gari unalotamba nalo kabla hujajua la kufanya baba ake anatokea ndani unamkumbuka ni wakili alie kutetea ktk kesi yako ya ubakaji
je ungefanyaje na demu unampenda kupita maelezo?
 
demu wako kaenda kukutambulisha kwao kufika getini unamkuta dada ake ambae ni demu wako wa zaman kidogo unamuona kaka ake ulipgana nae kwasabab alikufumania na demu wake ulipoangalia ndani ukamuona mama ake ambae ni sugar mumy wako na ndo alokununulia gari unalotamba nalo kabla hujajua la kufanya baba ake anatokea ndani unamkumbuka ni wakili alie kutetea ktk kesi yako ya ubakaji
je ungefanyaje na demu unampenda kupita maelezo?

Hapo huagi,ni mwendo
 
Unapotezea tuu kama hujui kilichotokea unajikausha tuu ila mh uso umeumbwa na haya jamani

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
keep on smiling through out the talk, never try to remeber any in the house, only your baby
SP
 
Mi nimekwenda kuoa pale najifanya sijui chochote, yaani nauchuna kama sio mimi ninayehusika na hayo masahibu
 
Inategemea ww ni kabila gan maana kuna makabila hyo ndo kaz yao kula kuku na mayai so kwao ni bwerere hawanaga haya

Sent from my BlackBerry
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom