Zamani kitu kikiwa kikubwa/kizuri tulikuwa tunasema cha kizungu,mf.kuku wa kizungu,ng'ombe wa kizungu,nashukuru sasa imegeuka imekuwa ya kichina,naamini kabisa kuna kizazi ambacho kitasema kila kizuri na kikubwa ni cha kibongo!!Asante Mungu kwa these changes!!