Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,286
- 10,831
Msanii wa Bongo Fleva, Hussein Machozi ameandika kwenye ukurasa wake wa Instagram kuwa kama wako 1000 basi naye atakuwa mstari wa mbele kama wa 1001 hiyo Oktoba.
Bado sijasikia kwa dada machozi na yule kaka bilionear aliyebebwa na anayebebwa na basuta licha ya uchafu na uharamu wa kazi zake chaaafu za kumomonyoa maadili ya taifa hili.Msanii wa Bongo Fleva, Hussein Machozi ameandika kwenye ukurasa wake wa Instagram kuwa kama wako 1000 basi naye atakuwa mstari wa mbele kama wa 1001 hiyo Oktoba.View attachment 3486274
Huyu ni nani kwani Bichwa Komwe?Cc: Dc Magoti.
A.K.A Kiwete asiye na Kifua.
Wew utatoka au utatiki.Mpaka kesho atakuwa katekwa.
Hata hivyo, hongera sana kwake.
Iwapo ni mlaposho haramu lazima utatumika sana kuelekea 29 oct.Eeh Mungu tuweke hai hadi tarehe 29 tuuone tena unafiki , usaliti na Unyumbu wa watanzania.
Anaishi zake Italy kwa manzi wake Mzungu. Hivyo jeuri ya kumteka hawana. Wahuni ujanja wao wote ni kwenye hii nchi tu ya wadanganyika.Mpaka kesho atakuwa katekwa.
Hata hivyo, hongera sana kwake.
BICHWA KOMWE - katika ubora wake 😀Cc: Dc Magoti.
A.K.A Kiwete asiye na Kifua.
Mkuu wa wilaya ya kisarawe.Huyu ni nani kwani Bichwa Komwe?
OoohMkuu wa wilaya ya kisarawe.
Kwahiyo anawasaidia ama anashirikianaje na Wazalendo wa taifa hili siku hiyo?Oooh
watekaji hawatashindwa kumpandia huko alikoAnaishi zake Italy kwa manzi wake Mzungu. Hivyo jeuri ya kumteka hawana. Wahuni ujanja wao wote ni kwenye hii nchi tu ya wadanganyika.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Yupo italy anafua nguo walizonyea wazungu