sasa naibu sindio anastahili kumsaidia waziri? mbona akina biteko kalemani walikuwa manaibu na kazi zilionekanaHivi unajua Bashe ni msaidizi tu wa waziri? Kwanini usimshutumu waziri mwenyewe wa kilimo kuliko wasaidizi wake? Usilete promo za kijingajinga za Kalemani. Tafuta mbinu nyingine za kumtangaza Kalemani lakini si kwa njia hii ya wivu
Acha aonje keki ya taifa nayeye kidogo jamani daah,roho mbaya tu kila mtu anataka hapo hapo hata mleta Uzi unatamani uteuzi......mimi pia maana nchi hii hakuna mtu mwenye uchungu nayo ila kujinufaisha tuKutokana na mabadiliko ya baraza la mawaziri lililotokea hivi karibuni mh Hussain Bashe alipata teuzi, tofauti na tulivyotarajia huyu jamaa yuko kimya tu wala hatujui anafanyanini hapo wizarani. Mvua za vuli zimeanza kunyesha sijamwona akienda minjingu kuangalia kama kuna mbolea ya kutosha. Tuna order yakupeleka mahindi Zimbabwe na Kenya jamaa wala hatoi mrejesho. Yupoyupo tu tofauti na akina Dr Kalemani Bashungwa Biteko Kigwangala
Tofauti na mh Bashungwa na Biteko hayo ni majembe kwelikweli siku yameteuliwa tukaona cheche kesho yake na yanaendelea kupiga kazi. Watanzania tulichelewa mno kuendelea tunahitaji watu wachapa kazi na sio watu wamichakato kujifunza vipaumbele hapana, uwaziri sio darasa la uongozi ni ofisi ya umma, hatuhitaji mtu wa kuanza farmirilazation. Mbona kule bungeni alikuwa kila siku anadadavua mambo kumbe zilikuwa porojo tu. Hebu atoke haraka asitupotezee muda.
unafiki unaitafuna CCMKutokana na mabadiliko ya baraza la mawaziri lililotokea hivi karibuni mh Hussain Bashe alipata teuzi, tofauti na tulivyotarajia huyu jamaa yuko kimya tu wala hatujui anafanyanini hapo wizarani. Mvua za vuli zimeanza kunyesha sijamwona akienda minjingu kuangalia kama kuna mbolea ya kutosha. Tuna order yakupeleka mahindi Zimbabwe na Kenya jamaa wala hatoi mrejesho. Yupoyupo tu tofauti na akina Dr Kalemani Bashungwa Biteko Kigwangala
Tofauti na mh Bashungwa na Biteko hayo ni majembe kwelikweli siku yameteuliwa tukaona cheche kesho yake na yanaendelea kupiga kazi. Watanzania tulichelewa mno kuendelea tunahitaji watu wachapa kazi na sio watu wamichakato kujifunza vipaumbele hapana, uwaziri sio darasa la uongozi ni ofisi ya umma, hatuhitaji mtu wa kuanza farmirilazation. Mbona kule bungeni alikuwa kila siku anadadavua mambo kumbe zilikuwa porojo tu. Hebu atoke haraka asitupotezee muda.
Kasi ya kudeki kilometa moja ya barabaraTanzania inahitaji kwenda kwa kasi Zaidi, wananchi wana uchu wa maendeleo kama alikuwa haijui kazi aliyopewa basi akae pembeni ajifunze ka simbachawene
Halafu wote aliowataja ni Mawaziri kamili.Juzi juzi tuu tayar hafai umetumia kipimo cha babu yko kijijin
mkuu mie sio mtatiro sihitaji teuzi, pia unahakika gani kama sina teuzi?Acha aonje keki ya taifa nayeye kidogo jamani daah,roho mbaya tu kila mtu anataka hapo hapo hata mleta Uzi unatamani uteuzi......mimi pia maana nchi hii hakuna mtu mwenye uchungu nayo ila kujinufaisha tu
Kwani umesikia Waziri Hasunga akilalamika popote kuwa Bashe hamsaidii kwa chochote? Unajua amekuwa asigned majukumu gani na waziri wake baada ya kuripoti wizarani?sasa naibu sindio anastahili kumsaidia waziri? mbona akina biteko kalemani walikuwa manaibu na kazi zilionekana
Sasa kama unao kwann unamuonea na kumuombea mabaya mwenzio wakati wote ni wachumia tumbo tu?mkuu mie sio mtatiro sihitaji teuzi, pia unahakika gani kama sina teuzi?
Tumbo langu lishashiba, nachumia watanzania wavuja jasho wenye hamu na maendeleo, nimejitoa kwa maendeleo a watanzania wote na sio mtu mmoja mmoja, ofisi ya uwaziri sio kitchen party hall hakuna keki kuna kazi tuSasa kama unao kwann unamuonea na kumuombea mabaya mwenzio wakati wote ni wachumia tumbo tu?
na nani?Ametumwa
Mtanzania wa aina hiyo hajazaliwa mkuu awe chama tawala au upinzani hayupoTumbo langu lishashiba, nachumia watanzania wavuja jasho wenye hamu na maendeleo, nimejitoa kwa maendeleo a watanzania wote na sio mtu mmoja mmoja, ofisi ya uwaziri sio kitchen party hall hakuna keki kuna kazi tu