Hahahaaa hakumwona mwenzie Jane000 kwa Ousofia?? Full mapozi
Hahahahaaaa Jux ni kapotabo yan Husny atakazaba kibao kimoja hadi kazimie...Hahahahaaaaaa! Namshangaa huyu Erick na ushauri wake wa giza, anataka Jux akuje hapa aseme kamzimikia mtu mwingine jina linaanza na herufi J au? Hajui humu ndani ni kuwahiana , anataka husni arembe ili iweje?
Hajui ameponea chupu chupu kuwa mjane?
Hahahaha! Pole konnie kumbe ndo yalikukuta makubwa hivyo?...lol, bora my wii alitokeza akamkimbiza asee!Usinikumbushe Jux
alinilaza msalani siku mbilia naendesha trekta.
lol, binti yule sijui alitumwa na nani.
Teh na yule km ni mwanamke basi si maharage yoyote bali ni mawe...hata upike kwa umeme hayaiviHuyo tripo O ni pasua kichwa
bila kumtoa out koko bichi atamsumbua sana.
Ee Mungu saidia isiwe mimi lol.watu wawili nahitaji kufuta nao uswahiba...
Wanajijua...siasa haimtaji mtuEe Mungu saidia isiwe mimi lol.
Mambo swahiba angu!
Ole wako akusikie!Teh na yule km ni mwanamke basi si maharage yoyote bali ni mawe...hata upike kwa umeme hayaivi
Hahaha! Acha kunirusha roho bana....Wanajijua...siasa haimtaji mtu
Nisalimie tu cha mwisho mwisho
ujane ningeuwezea wapi big mama. Ahsante kwa kunipgia debe.
Love you baby... Mwaaaaaaaaahhhhh!!
mapozi ya amy yamekufanya utange tange mtoto wa kiume. Mapozi chumbani wewe.
Tena ukizingatia bado una majeraha makali....
Hivi Judgement anakufikia wapi??
Kiunoni au mabegani??
Sidhani km kakuzidi au mko sawa kwa urefu
Plizi husninyo. Umesahau ahadi yako ulonipa juzi kuwa utakuwa waja mara kadhaa?
watu wawili nahitaji kufuta nao uswahiba...
Yaani wewe na husninyo mmekuwa daladala? Au mpira wa kona?Hahaha! Acha kunirusha roho bana....
Hehheeeeiyaaaaawee hujaibua
hata pedeshee la kukupeleka koko bichi??
watu wawili nahitaji kufuta nao uswahiba...
Hahahaaa yule akinisikia ataanza kunifundisha kiingereza hahaaaOle wako akusikie!