Husiniondolee Mood & Husinipe Ugali

Soma ufungue ubongo.... Acha uvivu
Unaweza kumfungua mtu ubongo wakati kuandika maneno rahisi kabisa ya kiswahili huwezi? Shule ulienda kufanya nini? Kweli unasoma darasa la kwanza mpaka la saba na ukimaliza huwezi kuandika kiswahili sahihi? ''Husiondolee'' na ''husinipe'' ndiyo madudu gani? Pumbafu kabisa.
 
Hiyo kuhusu kuandika kiswahili fasaha sio kazi yako, na mimi hapa siko kwenye interview ya ualimu wa somo la Kiswahili... Unachotakiwa ni kuelewa ujumbe tu, hayo mengine niachie mimi muhusika. Usibebe mzigo usiokuhusu
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…