Ni sahihi kwa wanandoa kila mnaloongea kufikisha ukweni? yaani namaanisha mwanamke afikishe kwao na mume afikishe kwao, haijalisha hayo mtakayoyaongea mazuri, mabaya, yanawahusu hayawahusu, naomba maoni yenu athari ya hii kitu mbeleni na kama vema kufikisha ukweni pia nijuzeni rafiki zangu