Hungry ghosts viumbe watesekao mno

Hungry ghosts viumbe watesekao mno

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,330
Reaction score
829,476
Kwa imani za Buddhism, Brahma, Taiosm, Kshna/Krisna nk wanaamini kabisa kuna hungry ghost, viumbe mizimu watesekao mno kutokana na matendo yao mabaya waliyotenda walipokuwa binadamu kamili, hawa tunawafananisha na viumbe waishio jehanam kwenye moto na joto kali kwa imani za Kikristo na Kiislam.

Hungry ghost ni viumberoho vinavyoteseka na njaa na kiu kali na kila wanachojaribu kula au kunywa kikipita tu kooni huunguza na moto mkali, ndio maana kwenye kila mno hufanyika dua maalum 'chanting' kuwaomba miungu wawaondolee karma mbaya na chakula kiweze pita kooni!

Ni imani ya wenzetu wasioamini Mungu mmoja lakini inawiana kwa kiasi fulani na sisi tunaomwamini Mungu mmoja.
 
ImageUploadedByJamiiForums1399446693.359868.jpg Hungry ghost ni viumberoho vinavyoteseka na njaa na kiu kali na kila wanachojaribu kula au kunywa kikipita tu kooni huunguza na moto mkali,
 
Unamaanisha CCM ni hungry ghosts?
 
Mmh hakika usicheze na imani ya mtu...
 
amaizing!!!. How mkuu?

nimeishi monestry kama buddhist monk na kshna na kufanya rituals zote zikiwemo kafara za fedha, ibada za kawaida mazishi na kuchoma moto marehemu
 
mshana jr asante kwa kutufundisha juu ya hungry ghost, ngoja tuongee na wataalam wa kutengeneza games, wateneneze games za viumbe hawa na kuweka kwenye simu
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom