Kwahiyo kwa kujiunga na Chadema ndo watapata maendeleo kweli wamepotea njia tena wameingia chaka baya ni ndoto za mchana tena za mtoto kudhania Chadema wakipewa nchi watatimiliza hizo ndoto haiwezekani na HAWAWEZI na HAWATOWEZA ni ahadi HEWA tena chafu!
Maarifa yanaingia Moro. CCM wanahaha, wanaandikisha Bodaboda na kuwa rubuni watawapatia piki. Sijui walikuwa wapi. Niliwakamata live leo.