katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,126
- 5,758
- Thread starter
-
- #101
Asantee mwaya ushauri mwingine wenye kunipa moyo ila sijakerwa sana nilichokerwa nacho ni hiki hapa unafukuziwa na invisible people napenda nimuone mtu.Nataka ufurahie maisha yako usiwaze sana maisha ya ndoa kuna jirani yangu kaolewa mwezi tu. Akaachika hivi sasa anazeeka alipata mtoto mmoja ndio tunacheza nae ana miaka 20+ mama yake nadhani 50+. Sio lazima kuolewa na mwanaume unae mpenda ila olewa na mwanaume mtakae endana kimaisha na kuyafurahia. Nakutakia furaha na maisha mema
Ndukiiiii🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Njia rahisi ya kumuona mtu tafuta namba ambayo utaitumia kwa WhatsApp kwa ajili hii tu. Kuonana na mwenza wa mtandaoni ukiwa na WhatsApp yake itakuwa rahisi kuona japo picha yake. Kumbuka usi fall in love kwa maandishi ya mtu ila ukishaonana nae. Una angalia jinsi utu na anavyo kujali. Kumbuka simba hata awe na njaa vipi lakini hatokula mzoga.( hata ukitaka mwenza lakini usijirahisishe sana)Asantee mwaya ushauri mwingine wenye kunipa moyo ila sijakerwa sana nilichokerwa nacho ni hiki hapa unafukuziwa na invisible people napenda nimuone mtu.
Sitaki tena nataka mtu ninaye mwona sio invisible people.Njia rahisi ya kumuona mtu tafuta namba ambayo utaitumia kwa WhatsApp kwa ajili hii tu. Kuonana na mwenza wa mtandaoni ukiwa na WhatsApp yake itakuwa rahisi kuona japo picha yake. Kumbuka usi fall in love kwa maandishi ya mtu ila ukishaonana nae. Una angalia jinsi utu na anavyo kujali. Kumbuka simba hata awe na njaa vipi lakini hatokula mzoga.( hata ukitaka mwenza lakini usijirahisishe sana)
Ndukiiiii 🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Sasa kumuona tu mtu bado haikuhakikishii ndoa, mtu anaweza kulipa hadi mahari na akaingia mitini, muombe Mungu tu yaishe, jitambue pia.Asantee mwaya ushauri mwingine wenye kunipa moyo ila sijakerwa sana nilichokerwa nacho ni hiki hapa unafukuziwa na invisible people napenda nimuone mtu.
Ndoa atakayenioa yupo tu iko siku yote yatatimiaSasa kumuona tu mtu bado haikuhakikishii ndoa, mtu anaweza kulipa hadi mahari na akaingia mitini, muombe Mungu tu yaishe, jitambue pia.
Yes but nimuone mtu nimuzoe ndio nimupe mukataba wa upartnerUlivyoanza nikafikiri unatafuta business partner
Uandishi una kipaji kwa kweli
Nakuombea sana utampata wa kuifariji nafsi yakoYes but nimuone mtu nimuzoe ndio nimupe mukataba wa upartner
We mwanamkeAchana nae usimshobokee tena, tulia utapata tu wa kwako kwa mda sahihi usijihisi kuwa umepungukiwa enjoy life.
Komandoo mwenyewe muoga muoga tu hana maanaKomandoo kawachakaza maadui wote unaambiwa teh teh teh.
Niambie Vale, bado hatujavuna maharage?We mwanamke
mmh..big mindWanakera sana kulalamika huku maisha yao ni kusadikika.
woyoooh...
kabisa katamka hivyo??Umeniambia nadanga seriosly
he! yashakuwa hayo tena..??Unajua vijitu vifupi kabisa kama vizakayo vinashida wewe mwenyewe ukikaa namtu mahali huonekani hufikii wala hicho kiti licha uonekane kwenye meza ukiorder kitu unalia kwa chini kama mtoto kisa kila kiti na meza vimekupita hata viwe vya chini kiasi gani unastreess kazi unatafutia watu wanawake kwa maana unaishilia kuonekana haupo mtu unasema samahani dada naomba nionge nawewe anaangalia kila mahali aoni mtu anaishilia kuondoka utabakia hivyo tu nakimdomo kama cha mcwa wenzio wanaoa wewe upo tu unacheza nawatoto wao hawakuoni hata wewe mkubwa pimbiii wewe sura mbaya unatishia hadi nyau paka mbwa na wanyama wote waporini.
Hebu ongeza urefu kidogo uonekane mwenzio zakayo alipanda juu ya mti yesu amuone natofauti yake na wewe wewe ni lofa yeye anazo wewe mpaka mlo unagongea kwa waliooa.
Badili ID iwe Katoto Kabaya utapata watu walio serious kweli ila ID ya Katoto Kazuri watajitokeza waosha RUNGU tu.Dah acha tu wakanisani wao wamerudi kundini sio hao nipo serious no kuchekea sana .
Siwezi tena kuwa na mtu humu hata iweje dah watu wanaishilia tu kukutesa