Msukumakizazi
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 2,599
- 2,089
Duhh!! pole umesema wanaishilia kukugegeda!! wanaume wabaya sana nilikuwa sijui.Dah acha tu wakanisani wao wamerudi kundini sio hao nipo serious no kuchekea sana .
Siwezi tena kuwa na mtu humu hata iweje dah watu wanaishilia tu kukutesa
Katoto kazuriWapendwa maisha yanaenda na umri pia.
Humu sioni kama kunamtu wakuonekana nope.
Humu watu hawapo ambao wapo serious wengi ni wanamatani na pia wameshachoka vitu vingi sana.
Nimeweka moyo na muda humu nikaja kutambua hili .
Humu ni kuchart tu kama umeboreka ila serious relationship ukitaka katafute kwenye mikusanyiko ya watu kama concerts ,harusi,hotels,lodges,meetings amd conferences humo ndio utampata mtu kwa maana hata first impression ni mnaonana ila humu wako watu wamechoka kweli.
So kama upo serious humu labda uwe mwanaume ndio watu watakuja ila demu ni ngumu.
As for me this is my rule naomba nisipendwe humu kimapenzi naomba tuchart tu.
Tuwe friends humu and thts it.
Sitaki mapenzi muda unaenda nataka nikasake mume mwenyewe nimuone anione sio niote wa jamii forum nitawaste my time zaidii.
Nataka familia na maisha ya songe .
Nawatakia asubuhi njema i am very serious .
Nilivyoumbwa nakuwekwa kwa mama Mungu alishanipangia wangu na hayupo humu pleasee.
All i need is friends only kupendwa siitaji humu i think people mmeniunderstand.
Mkuu huyo aliyekutesa humu haimaanishi wote wako sawa watakutesa pia.Dah acha tu wakanisani wao wamerudi kundini sio hao nipo serious no kuchekea sana .
Siwezi tena kuwa na mtu humu hata iweje dah watu wanaishilia tu kukutesa
Wewe unajuaje kama mimi sina hizo hela sio kila mtu anahitaji hizo.dada hela ngumu siku hizi, we pita tu
Aisee kujiheshimu kwa ajili ya nani sina msogo wa mawazo ni kwamba huku watu hawapo serious unaongea hivyo kwa maana hujui ninayoyapitia kabisaa mwanaume ukimtaka bila kujisumbua hotels wapo tena sio wa tanzania watakupenda kukuheshimu nakukujali .Ungejifunza kujipenda kujiheshim na kujithamini wewe mwenyewe kwanza wanasema mabadiliko huanza na wewe
Humu wato wapo serious sana, sjui umeshaona wangapi had ukaconclude hivo, una msongo wa mawazo, jaribu kupumzika vizur na fanya maisha yako utapata riziki yako
Wametua wengi ila niwazushi tu hakun a lolote huku ni wapita njia tu.Naweza sema tatizo ni wewe mwenyewe.Hebu tuliza kwanza kichwa.Wanaume wote duniani ni sawa,tunatofautiana vipaumbele pale tunapokuja kwenye swala la mahusiano aidha ya muda mfupi au yakudumu.sasa wewe kama bidhaa sokoni jukumu lako nikujiweka kwenye ubora wakuuzika kulingana na aina ya mteja unayemtaka.Kumbuka "UA zuri hutua nyuki msafi" na kinyume chake.
Bonge ya chura imepita, watu "wooooh!", ikageuka "mimi bibi ya mutu mujue!" wahuni nao "hata sisi bwana ya mutu!"..dada hela ngumu siku hizi, we pita tu
πππ hao ndio unawaona sasa sio wahuni wahumuBonge ya chura imepita, watu "wooooh!", ikageuka "mimi bibi ya mutu mujue!" wahuni nao "hata sisi bwana ya mutu!"..
Kimbaumbau kakapita, watu bizy.. kakageuka "mbona hamniongeleshi!?", wahuni nao "si upite!".
Hii ndio JF!.
Kweli jamani umeamua kutufanyia hivi kweli.HUMU NAOMBA TAFADHALI MNICHUKULIE KAMA RAFIKI SIITAJI MAPENZI YA KUTOONANA NAHITAJI MAPENZI YA KWELI.
Okay, ombi lako limefika mahali na muda muafakaWapendwa maisha yanaenda na umri pia.
Humu sioni kama kunamtu wakuonekana nope.
Humu watu hawapo ambao wapo serious wengi ni wanamatani na pia wameshachoka vitu vingi sana.
Nimeweka moyo na muda humu nikaja kutambua hili .
Humu ni kuchart tu kama umeboreka ila serious relationship ukitaka katafute kwenye mikusanyiko ya watu kama concerts ,harusi,hotels,lodges,meetings amd conferences humo ndio utampata mtu kwa maana hata first impression ni mnaonana ila humu wako watu wamechoka kweli.
So kama upo serious humu labda uwe mwanaume ndio watu watakuja ila demu ni ngumu.
As for me this is my rule naomba nisipendwe humu kimapenzi naomba tuchart tu.
Tuwe friends humu and thts it.
Sitaki mapenzi muda unaenda nataka nikasake mume mwenyewe nimuone anione sio niote wa jamii forum nitawaste my time zaidii.
Nataka familia na maisha ya songe .
Nawatakia asubuhi njema i am very serious .
Nilivyoumbwa nakuwekwa kwa mama Mungu alishanipangia wangu na hayupo humu pleasee.
All i need is friends only kupendwa siitaji humu i think people mmeniunderstand.
Tuonane leo basi... upo Arusha wapi?Kuna mtu alinipa advise siku nyingi nikampuuzia alisema jamii forum is the place where you can reduce stress but not a place for finding someone serious so becarefull
Sasa leo unasoma hapa nimekuja kuona kweli nasitakaa kupenda mtu humu tena i am serious .
Huwezi chart na mtu miezi miwili hamjaonana halafu kila siku sababu na huwezi ongeana mtu kwa simu na hamjaonana woi