Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 59,172
- 133,260
Wanabodi,
Mwanzo nilimnote huyu Mjumbe wa Tume ya Warioba kwa kuvaa kama Nyerere!, kisha nikanote ana umbo kama la Nyerere!, leo nimemsikiliza anaongea live on Channel mpaka saa hii, anaongea kama Nyerere!.
Japo Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarange Nyerere hayupo nasi!, lakini Nyerere bado yupo na sasa anaongea kupitia Humprey Polepole!.
Msikilize!.
Pasco.
Mkuu Pasco
Naona unaanza kupona ugonjwa wako taratibu,utaelewa sana tu Mwaka huu.
Na utaelewa zaidi Mwakan UKAWA wakimsimisha Judge Joseph Sinde Warioba kukamatia hii nchi,utaelewa tu.
Kuongozwa na mlevi wa gongo!!'''' over my dead body.
Hizo no ndoto tu, mkiamka mtauona na kuusujudu ukweli..... START PARKING YOUR BAGS
Wewe ni mzima??unamuongelea slow slow yule mgonjwa?
Kuongozwa na mlevi wa gongo!!'''' over my dead body.
Hizo no ndoto tu, mkiamka mtauona na kuusujudu ukweli..... START PARKING YOUR BAGS
Wanabodi,
Mwanzo nilimnote huyu Mjumbe wa Tume ya Warioba kwa kuvaa kama Nyerere!, kisha nikanote ana umbo kama la Nyerere!, leo nimemsikiliza anaongea live on Channel mpaka saa hii, anaongea kama Nyerere!.
Japo Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarange Nyerere hayupo nasi!, lakini Nyerere bado yupo na sasa anaongea kupitia Humprey Polepole!.
Msikilize!.
Pasco.