Humphrey Polepole live Channel ten

Humphrey Polepole live Channel ten

ferre.g

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2013
Posts
2,215
Reaction score
329
anapinga kupokea maoni kwasasa bungeni wafanyavyo akina sitta
 
anasema maoni yote yalishawasilishwa na tume na kila maoni si yaingie kwenye rasmu
 
anadai huku ni kupoteza fedha za watanzania.....
 
Mh sana S6 kuna shule ya bure sasa hivi Chanel ten inatolewa na mwenye akili Humfrey Polepole. Acha kupokea maoni huko BMK ni uzuzu.
 
Samwel sitta kishafirika kisiasa na hata kiakili amebaki kasha tu kichwani hamna kitu
 
BMK wasikilize wasipotoshe umma wakati kila kitu kiko peupe
 
Yule mzee hana busara wala hekima tena.....eti mzee wa viwango leo kageuka kuwa mwenyekiti wa tume ya kukusanya maoni?
 
huyu jamaa anatafuta ubunge chadema,anakosoa sana ccm ambayo imemsomesha na kumlea mpaka hapo alipofika leo anaungana na genge la hawa wahuni wa ukawa
 
Sitta ni kama mbwa Mzee , hana uwezo wa kujifunza mbinu mpya .......
 
binafsi hua namuelewa bwana pole pole zaidi ya ninavyo muelewa rais wenu.
 
Tupeni updates sisi huku umeme wanechukua tangu saa kumi na mbili na nusu jioni.
 
Back
Top Bottom