Humphery: Mimi siwezi kuhama chama changu CCM

Humphery: Mimi siwezi kuhama chama changu CCM

mgemamkwezi

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2013
Posts
445
Reaction score
105
Humphrey pole pole akiri kuwa yeye ni mwanachama mtiifu wa ccm,hata kama ccm itakuwa na mapungufu makubwa kiasi gani mm siwezi kukihama chama changu,pole pole alisema maneno hayo akiwa anahojiwa na star tv

Huyu jamaa namkubali sana lakini kukiri kuwa hawezi kukihama chama cha mafisadi na akikiri kila siku kuwa rasimu ya katiba iliyokuwa imebeba masuala yote muhimu yaliyopendekezwa na wananchi yamenyofolewa na manyang'au hao hao CCM ni unafiki na uzandiki.
 
Humphrey pole pole akiri kuwa yeye ni mwanachama mtiifu wa CCM, hata kamaCCM itakuwa na mapungufu makubwa kiasi gani mimi siwezi kukihama chama changu.

Pole pole alisema maneno hayo akiwa anahojiwa na Star Tv.
Hana lolote ni jiti linafki tu hilo njaa inamsumbua ndo maana anatumika kama mfagio wa chooni hasa kwa upande wa Ukawa
 
Anawachomaaaa kalen malimao
 
Back
Top Bottom