Hukumu ya ubunge Sumbawanga

Hukumu ya ubunge Sumbawanga

Sobangeja

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2011
Posts
401
Reaction score
354
Jamani wanabodi mliopo mahakama ya rufaa hebu tujuzeni kinachoendelea juu ya kesi ya jimbo la Sumbawanga mjini.:A S-baby:
 
wana jf.
Leo ndo mwendelezo wa ile hukumu ya ubunge wa Sumbawanga.

Mwenye taarifa taafadhali atupatie.
 
Hukumu huwa inasomwa cku 1 tu, sasa mwendelezo wa vp? au ni mwendelezo wa kesi?, cjakupata mkuu.
 
wana jf.
Leo ndo mwendelezo wa ile hukumu ya ubunge wa Sumbawanga.

Mwenye taarifa taafadhali atupatie.
Afadhali usingeandika kitu ingekuwa busara zaidi!
 
Nakumbuka Aeshi wa ccm alikata rufaa katika mahakama ya rufaa bila shaka mleta uzi anakusudia kuulizia hukumu mahakama ya rufaa.
Mkuu Mwita Maranya, kama hiyo hukumu ni leo, taarifa zake zikoje. Unajua hawa magamba wakiona jamii iko kimya ndio wanapata upenyo wa kuchakachua. Lakini kama watu wanafuatilia basi huwa wanatoa haki. Historia inaonesha hivyo.
 
Last edited by a moderator:
Tarehe ya hukumu bado haijatangazwa jamani, subira yavuta kheri!, tusubiri.
 
Nakumbuka Aeshi wa ccm alikata rufaa katika mahakama ya rufaa bila shaka mleta uzi anakusudia kuulizia hukumu mahakama ya rufaa.

Wana JF wenzangu,

Leo si siku ya hukumu. Niliandika humu siku chache zilizopita kwamba leo ni siku ambayo rufaa ziliyofunguliwa na Mwanasheria Mkuu pamoja na Aeshi mwenyewe zinasikiliza (two appeals have been consolidated). Kwenye hii kesi ,siyo tu kwamba Aeshi alikata rufaa yeye tu bali pia Mwanasheria Mkuu. Nadhani waliopata nafasi ya kuwepo Mahakamani watatujuvya yaliyojiri
 
There are currently 57 users browsing this thread. (13 members and 44 guests)


Nikiona jina la haka kajamaa mwili uanapata woga , sijui kwa nini.

Ile laptop ya marehemu Makamba Sr alikuwa nayo ndani ya saa moja baada ya kifo cha marehemu... Ramadhani Igondu et al wanadhambi nyingi sana ...Mgodi wa Norh Mara nao ulikuwa na mkono wake kwenye kifo cha marehemu, Sitta alijua kila kitu kinachoendelea!!!
 
Leo ilikuwa ndo wasikilize hoja ya rufaa, kilichotokea ni kuwa mjibu rufani wakili wa mr Yamsembo alicheleweshewa kupelekewa hoja za mrufani kwa mjibu wa mjibu rufani hoja za mrufani alipewa siku sita kabla ya leo kitendo ambacho kimeonekana kisingewezeka kupitia kwa umakini na kujizibu, mahakama imeridhia hoja ilotolewa na mjibu mrufani na hiyo kesi hiyo imeahirishwa hadi tar 7 March mwaka huu.
 
wana jf.
Leo ndo mwendelezo wa ile hukumu ya ubunge wa Sumbawanga.

Mwenye taarifa taafadhali atupatie.
mkuu thraed yako haijaeleweka vizuri bt kwa kukusaidia ni kwamba leo ilikuwa ni siku ya kusikiliza rufaa ambazo ni 2 moja ya mwanasheria mkuu alikata rufaa, na ya pili ni rufaa ya Aesh mwenyewe zote rufaa 2 ni dhidi ya Yamsebo. yaliyo jili mahakamani ni kwamba rufaa ilikuwa haijiva kwa maana ya siku 60 zilikuwa bado hazijatimia na mahakama ndo ilikosea kutaja kesi leo na majajai walikiri hilo na upande wa mrufaniwa kapewa muda wa kusubmit reply submission of appeal mpaka tarehe 7 mwezi wa 3 na itapangiwa tarehe mpya ya kuisikiliza kwa ujumla wakili wa Yamsebo alikuwa hajakamilisha documents na hata list of cases kwa ajili ya references kapewa in surprise leo ndani ya mahakama na majaji waka hairisha kesi. source mimi mwenyewe.
 
mkuu thraed yako haijaeleweka vizuri bt kwa kukusaidia ni kwamba leo ilikuwa ni siku ya kusikiliza rufaa ambazo ni 2 moja ya mwanasheria mkuu alikata rufaa, na ya pili ni rufaa ya Aesh mwenyewe zote rufaa 2 ni dhidi ya Yamsebo. yaliyo jili mahakamani ni kwamba rufaa ilikuwa haijiva kwa maana ya siku 60 zilikuwa bado hazijatimia na mahakama ndo ilikosea kutaja kesi leo na majajai walikiri hilo na upande wa mrufaniwa kapewa muda wa kusubmit reply submission of appeal mpaka tarehe 7 mwezi wa 3 na itapangiwa tarehe mpya ya kuisikiliza kwa ujumla wakili wa Yamsebo alikuwa hajakamilisha documents na hata list of cases kwa ajili ya references kapewa in surprise leo ndani ya mahakama na majaji waka hairisha kesi. source mimi mwenyewe.
mkuu asante kwa taarifa.
 
Hukumu ilishasomwa.2nasubir tarehe ya kuanza kampeni za uchaguzi
 
Back
Top Bottom