Aeshi Khalfan Hilal wa CCM jimbo la Rukwa mjini, ameshinda kesi yake iliyokuwa ya ubunge iliyokuwa ikipinga kutangazwa mshindi 31/1012012. Mwenye taarifa kamili atuwekee.
Una umri gani wewe?
Aeshi Khalfan Hilal wa CCM jimbo la Rukwa mjini, ameshinda kesi yake iliyokuwa ya ubunge iliyokuwa ikipinga kutangazwa mshindi 31/1012012. Mwenye taarifa kamili atuwekee.
Angalia kaja lini hapa jamzini!
Hakuna jimbo la Rukwa mjini, hujui kuandika vizuri kiswahili halafu unakuwa na kimbelembele cha kupost vitu hujui. Kama masaburi yanakuwasha si unawaPM watu wakushugulikie tu kimya kimya kuliko kujitangaza hadharni hapa kuwa we si riziki!!
Sasa hapo tushike lipi. Ameshinda, hajashinda?
Angalia kaja lini hapa jamzini!
Kama hujaelewa post mpaka utukane?
Kama hujaelewa post mpaka utukane?
Hakuna jimbo la Rukwa mjini, hujui kuandika vizuri kiswahili halafu unakuwa na kimbelembele cha kupost vitu hujui. Kama masaburi yanakuwasha si unawaPM watu wakushugulikie tu kimya kimya kuliko kujitangaza hadharni hapa kuwa we si riziki!!
Sasa hapo tushike lipi. Ameshinda, hajashinda?