Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,216
- 7,908
Hukumu ya kifo dhidi ya vijana watatu kwa ushiriki wao katika maandamano ya Novemba 2019 Iran imethibitishwa. Hukumu dhidi ya Amirhossein Moradi, Saeed Tamjidi na Mohammad Rajabi, ambayo ilisimamishwa na Mahakama Kuu ya Iran mnamo Julai 10, 2020 ikihusishwa na kuzidi kwa matumizi ya adhabu ya kifo katika kesi zinazochochewa kisiasa nchini.
"Pamoja na hukumu hizi za kifo zisizokuwa sawa, ni wazi kwamba vijana hao watatu wanatumiwa kama mfano ili kuwatisha watu wengine wasiandamane," alisema Hadi Ghaemi, mkurugenzi mtendaji wa Kituo cha haki za binadamu nchini Iran.
"Pamoja na hukumu hizi za kifo zisizokuwa sawa, ni wazi kwamba vijana hao watatu wanatumiwa kama mfano ili kuwatisha watu wengine wasiandamane," alisema Hadi Ghaemi, mkurugenzi mtendaji wa Kituo cha haki za binadamu nchini Iran.