Hukumu ya kesi ya uchaguzi Igunga

Hukumu ya kesi ya uchaguzi Igunga

Hasa ukizingatia kuwa magufuli aliahidi rushwa ya kujenga Daraja la Mbutu na kweli mpaka leo hii kaishia kupeleka Lori mbili za Mawe tu na hataki kugusa mahakamani basi uchaguzi mwingine huoooooo, na safari hii pamba yao wameishusha bei toka Tsh 1000 mpaka Tsh 600/= nafikiri patakuwa patamu zaidi ya uchaguzi uliopita

Mkuu, uchaguzi ukiitishwa magufuli ataendelea na ujenzi! Mambo kwa timing! Tena ataendea mwenyewe KUZINDUA ujenzi huo!
 
Ni kweli ilikuwa imepangwa tarehe 20/08 na hata ukiangalia kalenda wengi walifikiri idd itaangukia tarehe 21/08 ni kitu kilichotokea nje ya uwezo wa kawaida wa binadamu tuiachie mahakama itoe maamuzi yake.Si sahihi kuanza kujipangia hukumu itakuwa namna gani labda tujiulize huyo Magufuli aliyesema ana ed ya mwezi mzima ni kweli alikuwa mgonjwa au alikuwa anaogopa kuumbuka mahakamani.
 
Unajua kuna sikukuu ambazo huwezi kuwa na uhakika zitaangukia tarehe gani.

unaonekana upo simpo, ila nahisi umesheheni shari tupu. Bw. Mchokozi, ni hivi, sikukuu ya IDD inategemea mwezi mwandamo na sio tarehe za kupangwa na binadamu. na anayeendesha na kutawalia mambo ya kimaumbile ya kidunia ni aliyeumba mwenyewe, yaani ALLAH SUB'HANNAH WATAALA / MWENYEZI MUNGU, yeye ndiye aliyeu-umba huo mwezi na kuufanya uandame kwa wakati atakao yeye. HAUHITAJI KUWAZA KISHARISHARI, eti "Unajua kuna sikukuu ambazo huwezi kuwa na uhakika zitaangukia tarehe gani " unataka ujue ili iweje??? inakuhusu??? anayejua ni yeye aliyeu-umba huo mwezi, wala hata usihangaike kujitafutia unnecessary stresses kwa mambo usiyo na uwezo nayo. kwani wewe unayoyajua ni mangapi?? mbona mengi tu huyajui mkuu, POLE SANA.
 
Wana JF ninapatwa na kigugumizi, hukumu ya kesi ya uchaguzi IGUNGA iliyopangwa tarehe 20 August 2012, mbona tarehe hiyo itakuwa siku ya IDD? au vipi mimi nilinukuu visivyo? Anayeelewa anijuze na mimi, ninachofahamu waziri Magufuri aliingia mitini kutowa ushahidi.
Kwa taarifa zilizopo hukumu ni tarehe 21.08.2012(Jumanne) na kuhusu Magufuli baada ya kugoma kwenda Mahakamani kutoa ushahidi alionekana Nzega siku chache baada ya tukio hilo la kugoma na tumebaki na maswali ya kujiuliza alikwenda kufanya nini au alitumwa salamu za Mkubwa kwa JAJI?
 
Nasikia magwanda wamefunguwa na kesi ya kupinga matokeo ya Uzini, wanasema wameibiwa kura zao ilikuwa washinde!
 
Ni kweli ilikuwa imepangwa tarehe 20/08 na hata ukiangalia kalenda wengi walifikiri idd itaangukia tarehe 21/08 ni kitu kilichotokea nje ya uwezo wa kawaida wa binadamu tuiachie mahakama itoe maamuzi yake.Si sahihi kuanza kujipangia hukumu itakuwa namna gani labda tujiulize huyo Magufuli aliyesema ana ed ya mwezi mzima ni kweli alikuwa mgonjwa au alikuwa anaogopa kuumbuka mahakamani.
Magufuli alijipeleka kuonana na Jaji Faragha baada ya kupangwa tarehe za hukumu sijui aliongea nini na Jaji tusubiri tuone kitakacho tokea hapo 21.08.2012
 
Back
Top Bottom