Hukumu ya Kesi ya Uchaguzi Biharamulo


utafiti wake na una uhusiano gani na ubunge?, huo usomi wake (Ujuvi wa utafiti) ungeweza leta maendeleo gani katika jimbo lake, nadhani angekuwa sawa tu na msomi CHENGE-mwanasheria aliyebobea na aliyetuingiza kwenye hii mikatavba tuliyonayo
wapo wengi mkuu, Mchumi JK, Mwanasheria Ngereja, Prof Kapuya nk
 

alfunguliwa kesh kwa makosa gani weka hapa kwa uchache tuweze kuelewa.usiwe ndani ya box mkuu
 

Kwani CCM ina wabunge watafiti kidogo? Kwani baada ya kushindwa alinyanganywa utafiti wake?
 
Oscar mukasa alionewa sana jamaa yule.

Wangemchagua oscar wangepata maendeleo sana jamaa ni mtafiti mzuri na anatisha katika fani yake.

siasa chafu ndio zilizomuangusha jamaa, watu waliikata hadi migomba yake kwa chuki ila i hope atashinda tu kesi.
Inaelekea kama unaumwa ugonjwa wa UPOMWI (Ukosefu wa Pointi Mwilini), maana katika post zako zote huwa unatoa pumba tu.
 

Hakuna kitu
 
Inaelekea kama unaumwa ugonjwa wa UPOMWI (Ukosefu wa Pointi Mwilini), maana katika post zako zote huwa unatoa pumba tu.

Naomba ugonjwa huo uuite UPOKI = Upungufu wa POinti KIchwa
 
utafiti na ubunge mbali mbali mkuu.wabunge kipao wanazorotesha proffesion zao.
 
Tuache off points.

Kuna mtu yuko mahakamani anafuatilia?

Pls tunahitaji updates.
 

we unamjua vizuri oscar au unapayuka tu!niulize mi mpaga kura wa jimbo husika,hakuna kiraza kama osca bora hata ya lusinde wa mtera
 
Jaji alikuwa anasubiri hukumu ya Sumbawanga ili ajue hukumu yake itakuwaje!!!!?
 

Tupe updates maana hii saa nane.
 
Naomba ugonjwa huo uuite UPOKI = Upungufu wa POinti KIchwa

mkuu neno la mwisho kabisa umekosea. ni kichwani sio kichwa. ndo maana ukimwi kirefu chake ni ukosefu wa kinga mwiliNI na sio mwili.
 
asante sana mkuu tunaomba tupate update kutoka mahakamani
 
Jaji tenda haki kwa kumvua ubunge huyo Mbass.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…