nguvumali
JF-Expert Member
- Sep 3, 2009
- 4,923
- 1,325
Nimesikia kwenye Radio Free Africa hapa Mwanza kuwa Chenge amehukumiwa Kifungo cha miaka 2 ama Faini ya Shs za kitanzania mia saba elfu tu, Shs 700,000/= ambapo amelipa palepale mahakamani.
Najiuliza hizi sheria zinafanyaje kazi , mbona ni kama kesi zinazofanana , tena Mallya alituhumiwa kuendesha gari bila leseni, wakati huyu Chenge, ametuhumiwa kwa Kosa la Kugonga na Kuua, na pia kuendesha gari bila Bima.
upi ulinganifu ulio sawa wa hukumu hizi Kisheria ?
Najiuliza hizi sheria zinafanyaje kazi , mbona ni kama kesi zinazofanana , tena Mallya alituhumiwa kuendesha gari bila leseni, wakati huyu Chenge, ametuhumiwa kwa Kosa la Kugonga na Kuua, na pia kuendesha gari bila Bima.
upi ulinganifu ulio sawa wa hukumu hizi Kisheria ?