fenestra rotunda
JF-Expert Member
- Jun 18, 2015
- 608
- 614
Sidhani kama ni kweli,usingekuwa unakesha humu kila siku kuwaongelea wao na inaonyesha ni namna gani unawafuatilia kwa umakini tena neno kwa neno. Chadema ni kama maji kwako,usipoyanywa utayaoga.Chadema wameishiwa kila kitu wamebaki na matusi tu