Huku ndiko tunakoelekea kama taifa

Huku ndiko tunakoelekea kama taifa

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,666
Reaction score
830,565
IMG-20250425-WA0100.jpg
 
Maswali tunayofaa kujiuliza sisi sote

"Je tumekubalina na mfumo wa vyama vingi kwenye Nchi yetu?
Jibu ni ndio na inajibu katiba yetu ibara ya 3 kuwa "Jamuhuri ya muungano ni nchi ya kidemokrasia na ya kijamaa isiyokuwa na dini yenye kufuata mfumo wa vyama vingi vya kisiasa.

Anazungumza Makamu Mwenyekiti CHADEMA Taifa Mh. John Wegesa Heche
IMG-20250425-WA0052.jpg
 
"Walitupiga tukiwa tumelala chini na kisha kufuta taarifa zote kwenye simu zetu"
"Ukatili huu hautuvunji motor badala yake wanatengeneza visasi kwao na kwa vizazi vyao vyote"

Mh. All I. JUMA Naibu KM Zanzi
IMG-20250425-WA0053.jpg
bar
 
Uliona wapi mwalimu wa nidhamu akapendwa na wanafunzi wahuni? , ukiona anapendwa na wanafunzi wahuni shuleni chukua hatua haraka kama wewe ni mwalimu mkuu
 
Uliona wapi mwalimu wa nidhamu akapendwa na wanafunzi wahuni? , ukiona anapendwa na wanafunzi wahuni shuleni chukua hatua haraka kama wewe ni mwalimu mkuu
chiembe wewe ni juha tuu... Na una maono kimo cha mbilikimo kaka wale majuha wengine
 
Mungu si Athumani

 
Uliona wapi mwalimu wa nidhamu akapendwa na wanafunzi wahuni? , ukiona anapendwa na wanafunzi wahuni shuleni chukua hatua haraka kama wewe ni mwalimu mkuu
Kwa situation kama hii huu ni mfano unaostahili kuitwa wa kijinga wa level ya juu kabisa
 
Back
Top Bottom