kwa hiyo unataka shughuli zingine za kitaifa zisimame kwa sababu hiyo? think twice wewe ukiwa Rais na kufanya hivyo mambo mengi ya kitaifa yatasiamama na kuleta hasara kwani mabalozi hao wanatakiwa kuripoti kwenye vituo vyao vya kazi na kuanza kazi mara moja bila kujali kama unautilia mashaka uteuzi wa Rais lakini ukweli unabaki palepale wameteuliwa ni lazima waende kujitambulisha kwenye nchi husika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.