Ndoa yako ina muda gani mkuu?Sijawahi kupata jibu sahihi hasa kwanini mke wangu ninae-share nae kitanda kimoja na kunipikia chakula asishike simu yangu,ni sababu gani itakayonisukuma kufanya hivi!
Simu zangu zote mama anazijua password zake,hata mimi naijua password ya simu yake kwanini muishi mkijengeana mashaka?
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Mimi namuunga mkono na miguu muftianacholenga kuzuia ni simu isisomwe au uovu usionekane? Kama simu ina mazuri tu, anazuia ya kazi gani? Badala awaambie wanaume wasifanye mabaya anawaambia wanawake wasisome simu? Mbona fatwa imekaa kushoto kushoto?
Haujaambiwa usimwambie paswad, bali usipekue bila ridhaa yake, hata kama paswad amekujulishaHivi mkuu ulishawahi kujiuliza kama mpo ndani usiku wa manane ghafla ukapata tatizo kubwa la kiafya ambalo inabidi watafutwe watu kuja kukupa msaada halafu simu ya mkeo haina credit ila simu yako ina salio la kutosha na huwezi kufanya lolote so itambidi mkeo akahangaike kugonga milango ya majirani kuomba msaada wakati simu yako ina salio tatizo ni hajui password zake?
Hatufanani akili ila mie naona hayo siyo maisha.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Miaka sita mzee with two kids!
Kama ni wa kudenja unadenja tuu mkuu. Ndo maana Vodacom wakaweka huduma ya Tafadhali nipigie na Tafadhali niongezee hela. Isitoshe kuna Suala la Tahadhari na kila familia ina namna yake. Angalao kila Mwezi tunabajeti ya Hifadhi ya Fedha katika Mobile Money Account zetu kwa ajili ya Mawasiliano.Hivi mkuu ulishawahi kujiuliza kama mpo ndani usiku wa manane ghafla ukapata tatizo kubwa la kiafya ambalo inabidi watafutwe watu kuja kukupa msaada halafu simu ya mkeo haina credit ila simu yako ina salio la kutosha na huwezi kufanya lolote so itambidi mkeo akahangaike kugonga milango ya majirani kuomba msaada wakati simu yako ina salio tatizo ni hajui password zake?
Hatufanani akili ila mie naona hayo siyo maisha.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Mr Brighton , hawa wavaa madera ni waislamu na mapadri wako ambao wanakuongoza wewe kanisani , kanzu ambayo wwe unaiita dera ni vazi takatifu , hata yule msela aliyeigiza Yesu kwa kufanya matendo ya Yesu alivaa DERA kuonyesha kuwa Yesu alivaa dera ktk uhai wake . na walifunika nywele zao siku zote , mm na ww sote tunafundishwa kujifunza ustaarabu wao . USIKEJERI VAZI LA MUNGU WA KWELI.
Wanaume wa Dubai mmezidi uhuni !! Na ya Mke pia iwe haramu isishikwe.anacholenga kuzuia ni simu isisomwe au uovu usionekane? Kama simu ina mazuri tu, anazuia ya kazi gani? Badala awaambie wanaume wasifanye mabaya anawaambia wanawake wasisome simu? Mbona fatwa imekaa kushoto kushoto?
Kwa,hiyo hii inamuhusu Yesu,kwa vile ndio mavazi yake hayo .
Kwenye hali ni kule kwa wazungu,mwanamke akiolewa na Joseph,anabadilishwa ubini wa baba yake wanakuwa Mrs Monica Joseph.Mfumo Dume.Lakini mwanamme anabaki na ubini ule ule wa babake,haitwi Mr Joseph Monica.