Mitandao ya simu Tanzania kucharge wateja wake kwa njia ya vifurushi wakati coverage katika mitandao yao sio nzuri, Wakati mwingine muda wa kifurushi unakwisha kabla ya mteja kuweza kutumia hata 50% ya kifurushi hasa vifurushi vya data. Mtandao uakuja unaondoka. Hili sio JIPU? :lock1: