sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Wewe uko london au manzese? Waliamia manzese kwa mfuga mbwa paleFr Nkwera alianza kupata Marino akiwa Chuo Kikuu Dar, alianzisha huduma ya maombezi. Aliomba kwa Yesu Kristo kupitia kwa mama Bikira Maria. Wagonjwa walipona na vichaa walirudi katika hali zao za.
Fr Nkwera alikuwa na wasaidizi wake mmoja aliitwa Dinah. Huduma zilihamia Kimara na mikesha ilifanyika. Fr Nkwera alitengwa na kanisa Katoliki.
Kuna kikundi cha rosary London kiliitwa Pandre Pio, huwa nilikuwa ninasali nao sana na Fr Nkwera alikitembelea mara nyingi. Kila nikipotea kidogo nikirudi ninaambiwa Fr Nkwera aliondoka jana. Kile kikundi kilikufa na sehemu tuliyokuwa tunasali sasa hivi kuna Mhindi amefungua duka. Ninadhani gharama za pango ziliua huduma yetu ya rosary.