Huduma za Bima NHIF kwa wanachuo

Huduma za Bima NHIF kwa wanachuo

ubongokid

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2017
Posts
2,346
Reaction score
4,611
Kuna jambo limenistua sana;

Mwanafunzi amefika katika hospitali akiwa na Bima ya Afya ya NHIF ya chuo flani hapa Dar,kisha akaambiwa kuwa bima yake haijalipiwa.Ni bima mpya ya kama miezi miwili na imelipiwa kupitia chuo.

Niulize tu hivi kama nina kadi validi ya bima ambayo bado iko active je ni sawa kuambiwa kuwa bima haijalipiwa au kuna mchezo unafanywa wa kula hela za wana chuo?
 
Si sawa, Binafsi nimewahi kutumia bima ya chuo, sikuwahi kupata tatizo kama hilo,
Mpe pole huyo kijana
 
Wengi wanakosaga huduma maana michango ikichelewa kuwafikia Hupati na huduma
 
Back
Top Bottom